Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,490
- 62,874
Siku zinakimbia sana,bado miezi miwili tu mwaka uishe.Je wale mliokuwa na malengo ya kuukataa/kuagana na ubachela au 'usimbe' yametimia?Kama bado,tuongeze juhudi kwa siku zilizobaki,si vizuri kuwa 'msimbe'.