Bado miezi miwili mwaka 2019 uishe

Bado miezi miwili mwaka 2019 uishe

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,490
Reaction score
62,874
Siku zinakimbia sana,bado miezi miwili tu mwaka uishe.Je wale mliokuwa na malengo ya kuukataa/kuagana na ubachela au 'usimbe' yametimia?Kama bado,tuongeze juhudi kwa siku zilizobaki,si vizuri kuwa 'msimbe'.
 
Back
Top Bottom