Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,491
- 62,882
- Thread starter
- #21
ha ha ha ha haMwaka ukiisha nishtue niko busy sana
ha ha ha ha haMwaka ukiisha nishtue niko busy sana
We nae,asa kamusi ya kiswahili naitolea wapi?ha ha ha ha ha ni neno la kiswahili lenye maana hiyo,angalia kwenye kamusi ya kiswahili
Haina shida tutakaa kikaoTukae kikao basi tujadili shida iko wapi umri unaenda huu
ha ha ha ha ha na baada ya kifo unakuwa mzimu kutimiza malengo ya wengineHapa ndipo ninapojua neno "malengo" ni endelevu hadi kifo, maana sioni kabisa dalili ya kulifikia.
Mungu tuwezeshe waja wako.
Njoo uchukue mkuuWe nae,asa kamusi ya kiswahili naitolea wapi?
Njoo uchukue mkuu
Nakusubiri njoo uchukue sina madhara mkuu.Aaah basi baki na usimbe wako 😂😂
Ndio hivyo mkuu,mipango mingine huwa haitekelezekiKama bado ni kupanga mwaka ujao
Nakusubiri njoo uchukue sina madhara mkuu.
Njoo na hii barabara ya lami karibu na huu mti wenye matunda mazuriUko wapi nije?
Njoo na hii barabara ya lami karibu na huu mti wenye matunda mazuri
Ha ha ha ha, hapo hapo utamkuta mkaka mmoja ananywele fupi,tshirt nyeupe na suruali ya jinsi(blue)....ukifika umwambie "Mungu amesikia kilio changu"Anha ndio pale mti wemye matunda mazuri ambapo ukinyoosha unakuta wakaka
Ha ha ha ha, hapo hapo utamkuta mkaka mmoja ananywele fupi,tshirt nyeupe na suruali ya jinsi(blue)....ukifika umwambie "Mungu amesikia kilio changu"
huyo huyo njoo kwa spidi ya mwangaHuyo mkaka si ndio nakuta anacheka huku anaangalia upande huu?😂😂
Hapo ukute umeshawaliza men kibao. Ila now hujui shida iko wapi..Malengo yameenda fresh ila ili la kupata............sijui shida iko wapi..dah
ha ha ha mbona unamikwara mizito mkuu?Mimi naendelea kumuomba Mungu amuwezeshe my future better half achukue hatua na Mungu ampe ujasiri tu...akizidi kuchelewa tusilaumiane