Bado kutembea kijoti tu sasa

Bado kutembea kijoti tu sasa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,666
Reaction score
830,556
1445236814136.jpg
 
Kwa hiyo ulitaka ahairishe mkutano kisa jikwaa fupi kama afanyavyo Lowasa? Au wewe ushauri wako ni upi kama ungekuwepo?

Kwahiyo hakuandaliwa jukwaa au watu walipiga dili wakasepa? Swali langu halijajibiwa hiyo ndio kazi ya paa la gari?
 
Kwa hiyo ulitaka ahairishe mkutano kisa jikwaa fupi kama afanyavyo Lowasa? Au wewe ushauri wako ni upi kama ungekuwepo?
Ushauri wetu kwake aache kujipotezea muda rais wetu ni Lowassa.
 
Kwahiyo hakuandaliwa jukwaa au watu walipiga dili wakasepa? Swali langu halijajibiwa hiyo ndio kazi ya paa la gari?

Jukwaa lilikuwepo ila ni fupi hawezi kuonekana ndio ikabidi apande juu ya paa ili mkutano uendelee badala ya kuahirisha kama mfanyavyo.
 
Jukwaa lilikuwepo ila ni fupi hawezi kuonekana ndio ikabidi apande juu ya paa ili mkutano uendelee badala ya kuahirisha kama mfanyavyo.

Wakulaumiwa ni nani? Waliotengeneza jukwaa fupi aidha walibania pesa au walitengeneza kitu sahihi kwakuwa lingetumika kuhutubia watu na sio twiga lakini je hakuna team ya pre inspection kuhakikisha kuwa jukwaa lita maa mlengwa?
Swali langu hujalijibu lakini je hiyo ndio kazi ya paa la gari kama jukwaa ni fupi?
 
Wakulaumiwa ni nani? Waliotengeneza jukwaa fupi aidha walibania pesa au walitengeneza kitu sahihi kwakuwa lingetumika kuhutubia watu na sio twiga lakini je hakuna team ya pre inspection kuhakikisha kuwa jukwaa lita maa mlengwa?
Swali langu hujalijibu lakini je hiyo ndio kazi ya paa la gari kama jukwaa ni fupi?

Teh teh teh kwani mpaka jukwaa linakua bovu Geita na Mike mbovu Mbeya hakuna team ya pre inspection
UKAWA njaa mbayaaaa
 

Attachments

  • 1445241034804.jpg
    1445241034804.jpg
    88 KB · Views: 349
Teh teh teh kwani mpaka jukwaa linakua bovu Geita na Mike mbovu Mbeya hakuna team ya pre inspection
UKAWA njaa mbayaaaa

Tusichepuke tubaki njia kuu jee kama jukwaa ni bovu paa la gari ndio linafaa kuwa jukwaa?
 
Uchaguzi huu ni lowassa na kikwete, huyo kakaa nembo tu, akikaa jukwaani muda wote meno nje tu
 
Wakulaumiwa ni nani? Waliotengeneza jukwaa fupi aidha walibania pesa au walitengeneza kitu sahihi kwakuwa lingetumika kuhutubia watu na sio twiga lakini je hakuna team ya pre inspection kuhakikisha kuwa jukwaa lita maa mlengwa?
Swali langu hujalijibu lakini je hiyo ndio kazi ya paa la gari kama jukwaa ni fupi?

mshana jr
Usijisumbue kwa sababu hatakujibu hilo swali lako umemweka kwenye kona kali mno. Huenda huyo aliyepanda hapo hajui kazi ya paa la gari SUV kama hiyo.
Pili, huenda washauri wake hawapo au hawana akili timamu kwani kama wanamjua kuwa kaogopi kujirusha kutoka kwenye gari linalotembea hata hapo si ajabu akaamuru gari liondoke akiwa hapo ili aoneshe uwezo wa kusimama bila kujishika.
Sijui atakaaje pale magogoni ajizuie asirukie baharini kujifunza aina ya samaki waliotembelea eneo la magogoni. Jamani angalieni msijemfanya mtu akafa kabla ya wakati, haya nyiye msifuni tuu hata kwa kitu cha kijinga.
Hizi sio enzi ya zidumu fikra
 
Back
Top Bottom