Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,354
- 829,575
- Thread starter
- #21
mshana jr
Usijisumbue kwa sababu hatakujibu hilo swali lako umemweka kwenye kona kali mno. Huenda huyo aliyepanda hapo hajui kazi ya paa la gari SUV kama hiyo.
Pili, huenda washauri wake hawapo au hawana akili timamu kwani kama wanamjua kuwa kaogopi kujirusha kutoka kwenye gari linalotembea hata hapo si ajabu akaamuru gari liondoke akiwa hapo ili aoneshe uwezo wa kusimama bila kujishika.
Sijui atakaaje pale magogoni ajizuie asirukie baharini kujifunza aina ya samaki waliotembelea eneo la magogoni. Jamani angalieni msijemfanya mtu akafa kabla ya wakati, haya nyiye msifuni tuu hata kwa kitu cha kijinga.
Hizi sio enzi ya zidumu fikra
Hahahahaaaaaaa hahahahaaaaaaa hahaaa