Bado kuna Wanawake wasiopenda hela

Bado kuna Wanawake wasiopenda hela

Tabia ya kuomba omba ni ya kujiendekeza tu, wapo wadada mi nshakutana nao japo ni wachache sana ila wanapambana na hali zao.

Hawa wenyewe tabia za kuomba omba ni wasumbufu mpka kwa ndugu zao.
 
Itakua walikua na malengo na wewe ndio maana walikua hawakuombi hela. kinyume na hapo utapigwa mizinga zaidi ya ile 21 anayopigiwa Rais.

Nafikiri ni tabia tu mkuu, maana sioni ni jinsi gani mwanamke anaweza kuwa na malengo na mume wa mtu?
 
Tunawaombaga hela wanaume ambao hatuwapendi. Huu ndo ukweli, labda niwe na shida iloshindikana kote kote.

Ukiona unaombwa kila siku jua kuna shida sehemu.
Aisee hili lina ukweli. Kuna baadhi ya wanawake wanatumia kuomba hela kama difensi mekanizim. Yaani ukimtokea tu kama hakutaki, badala ya kukukataa laivu yeye anakupiga vizinga mfululizo mpaka mwenyewe unakimbia 😀😀
 
Tunawaombaga hela wanaume ambao hatuwapendi. Huu ndo ukweli, labda niwe na shida iloshindikana kote kote.

Ukiona unaombwa kila siku jua kuna shida sehemu.
Hiyo.unawaza wewe. Wengine wanadhani ukishamtongoza unageuka mzazi wake instantly.
 
Ni kweli ila hela mtafute maana na asiekuomba anategemea umpe bila kukuomba
Hela haina nafasi katika mapenzi. Yan ukianza hizo nasepa kama ifuatavyo. Hakuna uhusiano wowote wa pesa yangu n mapenzi yako. Ukifuata unalolenga unatafunwa then unawekwa kwenye recycle bin.
 
Hela haina nafasi katika mapenzi. Yan ukianza hizo nasepa kama ifuatavyo. Hakuna uhusiano wowote wa pesa yangu n mapenzi yako. Ukifuata unalolenga unatafunwa then unawekwa kwenye recycle bin.
Wala usijali wananaume wanaotoa bila kuombwa wapo sana.wewe pambana na hali yako.
 
Acha kujidanganya wewe!!

Hamnaga mwanamke asiyependa hela. Huyo ana wanaume zake huko wanaomla na kumuhonga. Labda wewe unaweza kuta tu umepata bahati ya kupendwa na yeye tu.
 
Aisee kuna wadada warembo "pisi kali" ambao hawapendi kabisa hela, kontrare tu popyula bilifu. Mimi binafsi nimeshakutana na wadada kama watatu wanne hivi ambao pamoja na kuwa nao kwenye mahusiano kwa muda mrefu (mwaka na zaidi) hawakuwahi kabisa kuniomba hela na hata pale walipoomba ni kwamba unakuta kweli ana ishu siriaz na anaomba kiasi ambacho ni rizonabo kabisa, na hata ukimwambia huna anakuelewa wala hachukii.

Na sio kwamba eti wadada hao ni mambo safi la hasha, ni wadada wa kawaida tu tena kati yao wawili nakumbuka walikua ni singo mazaz. Mara nyingi ilikua ni mpaka mimi mwenyewe nione aibu ndio niwatoe ila nikikausha hawaombi. Kwakweli Mungu awabariki sana wadada wa namna hii, nataka ku aplodi picha zao naona zinagoma.

Vipi na wewe ulishakutana na hawa viumbe adimu?
Wadada wa namna kama hiyo walishakufaga miaka ya 50 ila... Kama hao ni miaka ya sasa ulikua unasaidiwa kutoa huduma we lala tu nakujisifia.
 
Back
Top Bottom