Bado kuna baadhi yetu tunaishi kivuli cha marehemu

Hata hawa wenye imani unazoita za kijinga nao kama wakiamua kubaki chini ya mlima watakuwa na mawazo sawia na haya yako.. Lakini hukumu ya kijiji uhalisia wake ukione toka juu ya mlima na si chini..
Kamwe na daima dawamu dunia haiwezi kuwa na imani moja timilifu
Siongelei kuwa na imani moja,hili haliwezekani. Naongelea usahihi wa imani na kinyume chako.

Ungekuwa unaelewa ninacho kiandika maneno haya usingeyaandika,nilisema hivi maadamu kila jambo lina chanzo,kuhakiki imani ni jambo sahali sana.

Hata ukiwa juu ya mlima,tutakuuliza unaangalia ili uone nini,mifano mingine ni mfu na huu n mmoja wapo. Nilikuuliza marejeo yako ya kutoka nje ya dunia ni yapi ? Msiwe mna jenga hoja huku hamna uwezo wa kuzitete hoja hizo.

Wewe waulize wanao abudu Ng'ombe,ilikuwaje mpaka wakawa wanaabudu,sasa tumepewa akili tuzitumie kwa usahihi na si hisia kuzitumia mahala pa akili na moyo.
 
Siongelei kuwa na imani moja,hili haliwezekani. Naongelea usahihi wa imani na kinyume chako.

Ungekuwa unaelewa ninacho kiandika maneno haya usingeyaandika,nilisema hivi maadamu kila jambo lina chanzo,kuhakiki imani ni jambo sahali sana.

Hata ukiwa juu ya mlima,tutakuuliza unaangalia ili uone nini,mifano mingine ni mfu na huu n mmoja wapo. Nilikuuliza marejeo yako ya kutoka nje ya dunia ni yapi ? Msiwe mna jenga hoja huku hamna uwezo wa kuzitete hoja hizo.

Wewe waulize wanao abudu Ng'ombe,ilikuwaje mpaka wakawa wanaabudu,sasa tumepewa akili tuzitumie kwa usahihi na si hisia kuzitumia mahala pa akili na moyo.
Msiwe mna jenga hoja huku hamna uwezo wa kuzitete hoja hizo.
Mdogo mdogo kaka si lazima tukubaliane ama nikukubalie kile unachoamini kwa mtazamo wako
Umezungumzia juu ya 'mlima kuona nini'
Hata kuona kwenyewe ni 'sadifa' kwakuwa macho yasipokubali kuangalia bado huwezi kuona na wengi wetu huangalia, hutazama lakini hawaoni... Uono ni jambo lenye connection na roho na ufahamu...kwahiyo ninapozungumzia 'kuona' ninamaanisha...! La sivyo ningeandika kutazama au kuangalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunapishana pahala, uko kiimani zaidi ukishikilia kile ulichoaminishwa kuwa ndio 'ukweli' niko kiuhalisia zaidi nikiamini kwa vile vyote nilivyojifunza tofauti, mfanano na kinzani zake

Mhindi anaamini ng'ombe ndio Mungu wake na huwezi kumtoa kwenye huo msimamo... Wewe kwako ng'ombe unaona ni kitoweo... Ni mnyama kama wanyama wengine tuu
Katika dunia hii ya ulimwengu wa wanadamu bilion kadhaa huwezi kamwe ukasimama na kukaza misuli kabisa kuwa IMANI YANGU hii ndio sahihi na ya kweli kuliko nyingine zote
Unaweza kusema tu hivyo kama hujaamua kutoka nje ya box na kuiona dunia katika uhalisia wake

mbona unapishana na msimamo wako wa bandiko sasa??

kusema kuna watu wanaishi kwenye kivuli cha marehemu na haina maana,tayari hapo unataka watu wasikilize mawazo yako ya kiimani kuliko yao.kuna watu wanaamini katika mizimu ya viongozi wao,kosa lao ni lipi kuamini katika uwepo wa marehemu!!!!!

marehemu anakufa na habari yake ya ufahamu inaishia hapo,ila alichofanya kabla ndio mzimu wake unaoweza kutisha yeyote.kama ambavyo tunawaona nyinyi hapa jukwaani,mzimu huo hauli mtu wala haupigi kibao.ila unatisha kuliko maji ya kina kirefu,ndio sababu kuna genge la madalali mnahangaika kuaminisha watu marehemu hakuwa chochote.
kama alikuwa au hakuwa chochote inapaswa muendelee na mipango yenu halafu mjue anaishi au amekufa kimwili tu.
 
mbona unapishana na msimamo wako wa bandiko sasa??

kusema kuna watu wanaishi kwenye kivuli cha marehemu na haina maana,tayari hapo unataka watu wasikilize mawazo yako ya kiimani kuliko yao.kuna watu wanaamini katika mizimu ya viongozi wao,kosa lao ni lipi kuamini katika uwepo wa marehemu!!!!!

marehemu anakufa na habari yake ya ufahamu inaishia hapo,ila alichofanya kabla ndio mzimu wake unaoweza kutisha yeyote.kama ambavyo tunawaona nyinyi hapa jukwaani,mzimu huo hauli mtu wala haupigi kibao.ila unatisha kuliko maji ya kina kirefu,ndio sababu kuna genge la madalali mnahangaika kuaminisha watu marehemu hakuwa chochote.
kama alikuwa au hakuwa chochote inapaswa muendelee na mipango yenu halafu mjue anaishi au amekufa kimwili tu.
Kuna kujiandikia tu na kuna kuelewa ulichoandika ..hapa wewe umejiandikia tuu, bila kushirikisha hata robo ya akili yako..ni kama umejiuliza na kujijibu halafu ukaanza kutuhumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msiwe mna jenga hoja huku hamna uwezo wa kuzitete hoja hizo.
Mdogo mdogo kaka si lazima tukubaliane ama nikukubalie kile unachoamini kwa mtazamo wako
Umezungumzia juu ya 'mlima kuona nini'
Hata kuona kwenyewe ni 'sadifa' kwakuwa macho yasipokubali kuangalia bado huwezi kuona na wengi wetu huangalia, hutazama lakini hawaoni... Uono ni jambo lenye connection na roho na ufahamu...kwahiyo ninapozungumzia 'kuona' ninamaanisha...! La sivyo ningeandika kutazama au kuangalia

Sent using Jamii Forums mobile app

Siyo lazima tukubaliane,hili liko wazi ila kuandika uongo si sawa na hili linapigwa vita na watu wote wenye akili. Huwezi ukasema ya kuwa muabudu ng'ombe yuko sawa au anaye dai Yesu ni Mungu au utatu na mfano wake,wakati asili ya huu ujinga unajulikana na kalamu zimeshaandika na wino umekauka.Kadhalika ni uongo kudai ya kuwa imani hazihakikiwi.

Na mimi niko hapo hapo katika ona,sababu najua tofauti ya kuona,kuangalia na kutazama.

Hoja yangu ya msingi ni kuwa,hatuwezi wote kutofautiana halafu tukawa tumepatia yaani aabudiaye ng'ombe ana patia,anae abudu miti vile vile,anaye abudu jua kadhalika,anae amini katika utatu na wale tunao amini juu ya upweke wa Allah,hili halipo wala halijawahi kuwepo na halitakuwepo. Ndiyo maana tunazihakiki imani zetu na tnaweza kuthibitisha ukweli wa imani zetu na kubatilisha imani potofu.
 
Siyo lazima tukubaliane,hili liko wazi ila kuandika uongo si sawa na hili linapigwa vita na watu wote wenye akili. Huwezi ukasema ya kuwa muabudu ng'ombe yuko sawa au anaye dai Yesu ni Mungu au utatu na mfano wake,wakati asili ya huu ujinga unajulikana na kalamu zimeshaandika na wino umekauka.Kadhalika ni uongo kudai ya kuwa imani hazihakikiwi.

Na mimi niko hapo hapo katika ona,sababu najua tofauti ya kuona,kuangalia na kutazama.

Hoja yangu ya msingi ni kuwa,hatuwezi wote kutofautiana halafu tukawa tumepatia yaani aabudiaye ng'ombe ana patia,anae abudu miti vile vile,anaye abudu jua kadhalika,anae amini katika utatu na wale tunao amini juu ya upweke wa Allah,hili halipo wala halijawahi kuwepo na halitakuwepo. Ndiyo maana tunazihakiki imani zetu na tnaweza kuthibitisha ukweli wa imani zetu na kubatilisha imani potofu.
Labda akili yangu ni finyu kwenye 'uhakiki wa imani' kwamba kinatumika kigezo gani kuhakiki imani ya mtu?
Tuliwahi kufika sehemu moja nje ya nchi kwenye kongamano la imani mbadala (nje ya waamini wa Mungu mkui) hapo kulikuwa na hizi imani nyingine zote... Point yao moja iliyoleta mjadala mkali sana ni .. Inakuwaje mtu anaamini asichokiona?

Hapa utofauti uko kwenye kiroho na kimwili.. Natambua Wakristo wako kiroho zaidi lakini imani zingine nje ya ukristo ziko kimwili zaidi.... Zikishughulika na mwili kuliko roho..
Sasa ithibati za kiimani zinapatikanaje hiki ndio kinanitatiza kwakuwa imani si mchakato .. !!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu atakufa...hata mtoa mada utakufa, na hatujui utakufa kwa sababu ipi....ila ujinga wako na ufahamu wako, mema yako na mabaya yako yatabakiza athari kwa uliokuwa unaishia nao.

Nakukumbusha tu...we utakufa na tutakusahau...watakaokikumbuka ni familia yako tu maana hakuna kubwa ulilolifanya nchi au wananchi tukakukumbuka.


Magufuli kafa, amelala, hajui chochote kinachoendelea ila:
1. Ukisafiri kwenye standard geji utamkumbuka.

2. Ukipanda air Tanzania utamkumbuka

3. Ukienda kituo cha afya utamkumbuka

4. Umeme ukiwaka utamkumbuka

5. Ukipita Ubungo interchange utamkumbuka tu...


"Kuna watu wamekufa miaka 2000 iliyopita lakini bado mawazo yao, gunduzi zao mpaka leo zinaishi"

Si kila mtu ufa na kusahaulika.

"Ipo siku mtanikumbuka, na ninajua si kwa mabaya bali kwa mazuri maana nime sakrifaizi maisha yangu kwa ajili ya watanzania maskini"

Kama nyie mnavyoabudu wafu nakuomba wawaombee, na sisi tunamkumbuka Magufuli kwa mema yake na tutayaenzi ila hatutamwabudu kwani yeye ni binadamu!
Mleta mada hajakushutumu ila kuna jamaa kakuita uje usome unfortunately unaanza kumurushia maneno mleta maada
HALAFU unaanza kukashifu na imani za watu eti wanavyowaabudu wafu wawaombee
Umeelewa hii thread kweli ndugu coz hakuna hata sehemu aliyotajwa MWENDA ZAKE uliejaribu kumuibua wewe hapa kweli wewe NEBUKADNEEZAR (DISHI PRO-MAX)
 
Mleta mada hajakushutumu ila kuna jamaa kakuita uje usome unfortunately unaanza kumurushia maneno mleta maada
HALAFU unaanza kukashifu na imani za watu eti wanavyowaabudu wafu wawaombee
Umeelewa hii thread kweli ndugu coz hakuna hata sehemu aliyotajwa MWENDA ZAKE uliejaribu kumuibua wewe hapa kweli wewe NEBUKADNEEZAR (DISHI PRO-MAX)
(DISHI PRO-MAX)
 
Kila mtu atakufa...hata mtoa mada utakufa, na hatujui utakufa kwa sababu ipi....ila ujinga wako na ufahamu wako, mema yako na mabaya yako yatabakiza athari kwa uliokuwa unaishia nao.

Nakukumbusha tu...we utakufa na tutakusahau...watakaokikumbuka ni familia yako tu maana hakuna kubwa ulilolifanya nchi au wananchi tukakukumbuka.


Magufuli kafa, amelala, hajui chochote kinachoendelea ila:
1. Ukisafiri kwenye standard geji utamkumbuka.

2. Ukipanda air Tanzania utamkumbuka

3. Ukienda kituo cha afya utamkumbuka

4. Umeme ukiwaka utamkumbuka

5. Ukipita Ubungo interchange utamkumbuka tu...


"Kuna watu wamekufa miaka 2000 iliyopita lakini bado mawazo yao, gunduzi zao mpaka leo zinaishi"

Si kila mtu ufa na kusahaulika.

"Ipo siku mtanikumbuka, na ninajua si kwa mabaya bali kwa mazuri maana nime sakrifaizi maisha yangu kwa ajili ya watanzania maskini"

Kama nyie mnavyoabudu wafu nakuomba wawaombee, na sisi tunamkumbuka Magufuli kwa mema yake na tutayaenzi ila hatutamwabudu kwani yeye ni binadamu!
Mimi simkumbuki Magufuli nakumbuka kodi zangu,alizochukua nyingi na kibabe.
Na hizo kodi zangu ndo imejenga kilakitu sio Magufuli.
Nikiona barabara nasema kodi zangu zimefanya kazi na sio magufuli
 
Vp na wale waliokuwa wakitekwa na kuuwawawa???acha uzumbukuku ww
Kila mtu atakufa...hata mtoa mada utakufa, na hatujui utakufa kwa sababu ipi....ila ujinga wako na ufahamu wako, mema yako na mabaya yako yatabakiza athari kwa uliokuwa unaishia nao.

Nakukumbusha tu...we utakufa na tutakusahau...watakaokikumbuka ni familia yako tu maana hakuna kubwa ulilolifanya nchi au wananchi tukakukumbuka.


Magufuli kafa, amelala, hajui chochote kinachoendelea ila:
1. Ukisafiri kwenye standard geji utamkumbuka.

2. Ukipanda air Tanzania utamkumbuka

3. Ukienda kituo cha afya utamkumbuka

4. Umeme ukiwaka utamkumbuka

5. Ukipita Ubungo interchange utamkumbuka tu...


"Kuna watu wamekufa miaka 2000 iliyopita lakini bado mawazo yao, gunduzi zao mpaka leo zinaishi"

Si kila mtu ufa na kusahaulika.

"Ipo siku mtanikumbuka, na ninajua si kwa mabaya bali kwa mazuri maana nime sakrifaizi maisha yangu kwa ajili ya watanzania maskini"

Kama nyie mnavyoabudu wafu nakuomba wawaombee, na sisi tunamkumbuka Magufuli kwa mema yake na tutayaenzi ila hatutamwabudu kwani yeye ni binadamu!
 
Hapana hawa ni kikundi kinalipwa kwa hiyo kazi na kina ID za kila aina... Utakachogundua ni mode of writing, utaona kila siku kuna ID inatrend siku nzima kwa mada zenye maudhui yanayofanana, siku inayofuta ile ID huioni tena inaibuka nyingine inaendeleza.
Wapi kawe alumin, bia yetu, Ndabila nk
 
Labda akili yangu ni finyu kwenye 'uhakiki wa imani' kwamba kinatumika kigezo gani kuhakiki imani ya mtu?
Hili swali nimeshalijibu. Nilichokiona husomi ninacho kiandika au hukielewi ndiyo maana hata maswali yangu hujibu.

Nakuja kuendelea hapa nilipoishia....
 
Tuliwahi kufika sehemu moja nje ya nchi kwenye kongamano la imani mbadala (nje ya waamini wa Mungu mkui) hapo kulikuwa na hizi imani nyingine zote... Point yao moja iliyoleta mjadala mkali sana ni .. Inakuwaje mtu anaamini asichokiona?
Hili jibu lake ni rahisi sana,ukirejea katika maana ya Imani. Tamko Imani ni tamko lenye asili ya Kiarabu lenye maana ya kusadikisha jambo lililo fichikana kwa moyo na kulitamka kwa ulimi na kulitendea kazi jambo hilo. Ndiyo maana tunasema Imani haiwi bila matendo.

Sasa,swali lako kwanini tunaamini kitu tusichokiona kwa sababu kitu hicho kina ishara yaani kinawasilishwa na kinacho onekana au mfano wake. Mathalani leo hii hakuna anaepinga ya kuwa njaa inauma,ila haioni lakini tunahisi,hii huitwa ishara kwayo huielezea au huonyesha uwepo wa kitu hicho ambacho ni njaa.

Lakini,akili pekee haiwezi kuelezea mambo yaliyofichikana pasi na msaada wa ufunuo. Hapa ndipo kwenye mizani ya kupima ukweli na uongo wa imani fulani.

Nakomea hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom