Bado kuna baadhi yetu tunaishi kivuli cha marehemu

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,632
697,843
Marehemu ni nani?

Marehemu ni mtu aliyekufa na asiyeweza kufufuka tena.

Je, marehemu ana kauli na utashi?

Laa! laa hasha! Marehemu hana kauli wala utashi wa yale yatokeyo baada ya kifo chake

Je, kifo ninini?

Kifo ni hali ya roho kutengena na mwili. Vitu hivi viwili ndio hutengeneza uhai na utambulisho, vikitengena hivi kila kimoja huenda njia yake. Utengano huo ndio tunaita kifo na kifo huleta ufu wa mfu ambaye ni marehemu.

Marehemu mfu hupewa majina tofauti kulingana na hadhi yake katika jamii inayomzunguka, majina hayo ni kama mwendazake au hayati au mtwaliwa!

Umauti ni hali ileile ya kufa ambayo huzaa neno kifo. Kifo ama umauti ni wa kimwili si wa kiroho! Roho haifi bali kifacho ni mwili uharibikao baada ya roho kutengana nao.

Maisha yako tangu kuzaliwa mpaka kufa, hutengeneza simulizi na kila simulizi moja huacha alama hasi au chanya. Alama unazoacha ndio hutengeneza kumbukizi za muda mfupi ama za muda mrefu lakini si za milele. Baada ya kifo cha mtu mwanadamu simulizi yake hufikia tamati na kitabu chake hufungwa.

Hakuna jipya tena! Kama marehemu mfu hayati mwendazake alipatia basi alipatia na kama alikosea baasi alikosea. Ama la kama alipatia na kukosea kwa asilimia zake, hakuna popote kifutio cha kufuta makosa yake ama mazuri yake! Hakuna popote tena penye fundi mahiri na vitendea kazi kamili vya kurekebisha ama kusahihisha mapungufu yake.

Kinachobaki ni simulizi katika mizania ya haki. Je, itaelemea wapi!? Huko itakapoelemea basi tambua ndipo ilipo 'legacy' yako! Hii haichakachuliki wala haipambiki. Ipo kama ilivyoundwa na mhusika katika maisha yake. Ikiwa ni almasi mchangani itang'aa tena bila hata mwanga kizani na ikiwa ni uzuri wa mkakasi bado itajidhihiri hata penye kiza totoro.

Hivyo basi tunaaswa tusiishi vivuli vya wafu. Wafu ni uvundo unukao sana hata ukiusiliba na mapambo vya thamani kubwa bado utabaki kuwa uvundo na utanuka tuu mpaka utakapooza na kupotea kabisa.

Tusiishi vivuli vya wafu kwakuwa havina sauti tena, na hata roho zao zikiwa na sauti bado hazina vivuli kwakuwa hazimo kwenye mwili jumba uliolala kwenye uharibifu.

Haukuongezei hata nukta ya hatua kwa kukivika mataji na kukiwashia taa zing'aazo sana kivuli kisichoonekana tena. Kisicho na sauti tena! Kisichosikika tena.

Hivyo basi simama sasa usonge mbele, ukitengeneza simulizi zako kwa kujifunza kutoka kwa waliokwisha lala moja kwa moja. Legacy yako iko mikononi mwako ni juu yako kuiunda utakavyo! Ya mwendazake ni yake ishakamilika. Usihangaike nayo. Hutaweza kuibadilisha na haitabadilika.

giphy.gif
 
Tusipomuangalia anaenda ipata bipolar soon..maana kila comment analia oh tutamkumbuka Jpm...ukimsisitiza jamaa ndo ntolee hataki kbs kuamini..nahisigi anaandika nyuzi zake akiwa amejibanza kwenye kakona ana
Hapana hawa ni kikundi kinalipwa kwa hiyo kazi na kina ID za kila aina... Utakachogundua ni mode of writing, utaona kila siku kuna ID inatrend siku nzima kwa mada zenye maudhui yanayofanana, siku inayofuta ile ID huioni tena inaibuka nyingine inaendeleza.
 
Marehemu ni nani?

Marehemu ni mtu aliyekufa na asiyeweza kufufuka tena.

Je, marehemu ana kauli na utashi?

Laa! laa hasha! Marehemu hana kauli wala utashi wa yale yatokeyo baada ya kifo chake

Je, kifo ninini?

Kifo ni hali ya roho kutengena na mwili. Vitu hivi viwili ndio hutengeneza uhai na utambulisho, vikitengena hivi kila kimoja huenda njia yake. Utengano huo ndio tunaita kifo na kifo huleta ufu wa mfu ambaye ni marehemu.

Marehemu mfu hupewa majina tofauti kulingana na hadhi yake katika jamii inayomzunguka, majina hayo ni kama mwendazake au hayati au mtwaliwa!

Umauti ni hali ileile ya kufa ambayo huzaa neno kifo. Kifo ama umauti ni wa kimwili si wa kiroho! Roho haifi bali kifacho ni mwili uharibikao baada ya roho kutengana nao.

Maisha yako tangu kuzaliwa mpaka kufa, hutengeneza simulizi na kila simulizi moja huacha alama hasi au chanya. Alama unazoacha ndio hutengeneza kumbukizi za muda mfupi ama za muda mrefu lakini si za milele. Baada ya kifo cha mtu mwanadamu simulizi yake hufikia tamati na kitabu chake hufungwa.

Hakuna jipya tena! Kama marehemu mfu hayati mwendazake alipatia basi alipatia na kama alikosea baasi alikosea. Ama la kama alipatia na kukosea kwa asilimia zake, hakuna popote kifutio cha kufuta makosa yake ama mazuri yake! Hakuna popote tena penye fundi mahiri na vitendea kazi kamili vya kurekebisha ama kusahihisha mapungufu yake.

Kinachobaki ni simulizi katika mizania ya haki. Je, itaelemea wapi!? Huko itakapoelemea basi tambua ndipo ilipo 'legacy' yako! Hii haichakachuliki wala haipambiki. Ipo kama ilivyoundwa na mhusika katika maisha yake. Ikiwa ni almasi mchangani itang'aa tena bila hata mwanga kizani na ikiwa ni uzuri wa mkakasi bado itajidhihiri hata penye kiza totoro.

Hivyo basi tunaaswa tusiishi vivuli vya wafu. Wafu ni uvundo unukao sana hata ukiusiliba na mapambo vya thamani kubwa bado utabaki kuwa uvundo na utanuka tuu mpaka utakapooza na kupotea kabisa.

Tusiishi vivuli vya wafu kwakuwa havina sauti tena, na hata roho zao zikiwa na sauti bado hazina vivuli kwakuwa hazimo kwenye mwili jumba uliolala kwenye uharibifu.

Haukuongezei hata nukta ya hatua kwa kukivika mataji na kukiwashia taa zing'aazo sana kivuli kisichoonekana tena. Kisicho na sauti tena! Kisichosikika tena.

Hivyo basi simama sasa usonge mbele, ukitengeneza simulizi zako kwa kujifunza kutoka kwa waliokwisha lala moja kwa moja. Legacy yako iko mikononi mwako ni juu yako kuiunda utakavyo! Ya mwendazake ni yake ishakamilika. Usihangaike nayo. Hutaweza kuibadilisha na haitabadilika.

giphy.gif
RIP au roho ya marehemu ikae mahali pema peponi
haya maneno ya maana yeyote kwa mwendazake?
 
Marehemu ni nani?

Marehemu ni mtu aliyekufa na asiyeweza kufufuka tena.

Je, marehemu ana kauli na utashi?

Laa! laa hasha! Marehemu hana kauli wala utashi wa yale yatokeyo baada ya kifo chake

Je, kifo ninini?

Kifo ni hali ya roho kutengena na mwili. Vitu hivi viwili ndio hutengeneza uhai na utambulisho, vikitengena hivi kila kimoja huenda njia yake. Utengano huo ndio tunaita kifo na kifo huleta ufu wa mfu ambaye ni marehemu.

Marehemu mfu hupewa majina tofauti kulingana na hadhi yake katika jamii inayomzunguka, majina hayo ni kama mwendazake au hayati au mtwaliwa!

Umauti ni hali ileile ya kufa ambayo huzaa neno kifo. Kifo ama umauti ni wa kimwili si wa kiroho! Roho haifi bali kifacho ni mwili uharibikao baada ya roho kutengana nao.

Maisha yako tangu kuzaliwa mpaka kufa, hutengeneza simulizi na kila simulizi moja huacha alama hasi au chanya. Alama unazoacha ndio hutengeneza kumbukizi za muda mfupi ama za muda mrefu lakini si za milele. Baada ya kifo cha mtu mwanadamu simulizi yake hufikia tamati na kitabu chake hufungwa.

Hakuna jipya tena! Kama marehemu mfu hayati mwendazake alipatia basi alipatia na kama alikosea baasi alikosea. Ama la kama alipatia na kukosea kwa asilimia zake, hakuna popote kifutio cha kufuta makosa yake ama mazuri yake! Hakuna popote tena penye fundi mahiri na vitendea kazi kamili vya kurekebisha ama kusahihisha mapungufu yake.

Kinachobaki ni simulizi katika mizania ya haki. Je, itaelemea wapi!? Huko itakapoelemea basi tambua ndipo ilipo 'legacy' yako! Hii haichakachuliki wala haipambiki. Ipo kama ilivyoundwa na mhusika katika maisha yake. Ikiwa ni almasi mchangani itang'aa tena bila hata mwanga kizani na ikiwa ni uzuri wa mkakasi bado itajidhihiri hata penye kiza totoro.

Hivyo basi tunaaswa tusiishi vivuli vya wafu. Wafu ni uvundo unukao sana hata ukiusiliba na mapambo vya thamani kubwa bado utabaki kuwa uvundo na utanuka tuu mpaka utakapooza na kupotea kabisa.

Tusiishi vivuli vya wafu kwakuwa havina sauti tena, na hata roho zao zikiwa na sauti bado hazina vivuli kwakuwa hazimo kwenye mwili jumba uliolala kwenye uharibifu.

Haukuongezei hata nukta ya hatua kwa kukivika mataji na kukiwashia taa zing'aazo sana kivuli kisichoonekana tena. Kisicho na sauti tena! Kisichosikika tena.

Hivyo basi simama sasa usonge mbele, ukitengeneza simulizi zako kwa kujifunza kutoka kwa waliokwisha lala moja kwa moja. Legacy yako iko mikononi mwako ni juu yako kuiunda utakavyo! Ya mwendazake ni yake ishakamilika. Usihangaike nayo. Hutaweza kuibadilisha na haitabadilika.

giphy.gif
Kila mtu atakufa...hata mtoa mada utakufa, na hatujui utakufa kwa sababu ipi....ila ujinga wako na ufahamu wako, mema yako na mabaya yako yatabakiza athari kwa uliokuwa unaishia nao.

Nakukumbusha tu...we utakufa na tutakusahau...watakaokikumbuka ni familia yako tu maana hakuna kubwa ulilolifanya nchi au wananchi tukakukumbuka.


Magufuli kafa, amelala, hajui chochote kinachoendelea ila:
1. Ukisafiri kwenye standard geji utamkumbuka.

2. Ukipanda air Tanzania utamkumbuka

3. Ukienda kituo cha afya utamkumbuka

4. Umeme ukiwaka utamkumbuka

5. Ukipita Ubungo interchange utamkumbuka tu...


"Kuna watu wamekufa miaka 2000 iliyopita lakini bado mawazo yao, gunduzi zao mpaka leo zinaishi"

Si kila mtu ufa na kusahaulika.

"Ipo siku mtanikumbuka, na ninajua si kwa mabaya bali kwa mazuri maana nime sakrifaizi maisha yangu kwa ajili ya watanzania maskini"

Kama nyie mnavyoabudu wafu nakuomba wawaombee, na sisi tunamkumbuka Magufuli kwa mema yake na tutayaenzi ila hatutamwabudu kwani yeye ni binadamu!
 
vikitengena hivi kila kimoja huenda njia yake.
Hapa sijakuelewa una maanisha nini na upi ukweli wa hiki ulichokiandika. Yaani unao ushahidi juu ya hili ?
RIP au roho ya marehemu ikae mahali pema peponi
haya maneno ya maana yeyote kwa mwendazake?
Haya maneno hayana maana yoyote,zaidi ya kudhihirisha ujinga walio na watu juu ya masuala haya. Kama ulikuwa muovu ujue kuna maisha baada ya kifo chako na malipo huanzia hapo,kama ulikuwa mwema kadhalika unaendelea kula maisha,mpaka Kiama kinapo simama.
 
Hapa sijakuelewa una maanisha nini na upi ukweli wa hiki ulichokiandika. Yaani unao ushahidi juu ya hili ?

Haya maneno hayana maana yoyote,zaidi ya kudhihirisha ujinga walio na watu juu ya masuala haya. Kama ulikuwa muovu ujue kuna maisha baada ya kifo chako na malipo huanzia hapo,kama ulikuwa mwema kadhalika unaendelea kula maisha,mpaka Kiama kinapo simama.
Mwili unaoza kaburini, roho inasubiri kiama lakini kwa imani zingine ni mwanzo wa safari ndefu isiyo na mwisho, reincarnation , kugeuka pepo nk
 
Mwili unaoza kaburini, roho inasubiri kiama lakini kwa imani zingine ni mwanzo wa safari ndefu isiyo na mwisho, reincarnation , kugeuka pepo nk
Roho inasubiri Kiama ikiwa wapi ?

Ushawahi kuhakiki Imani yoyote ukajua ni ya kweli au ya uongo ?
 
Hapa sijakuelewa una maanisha nini na upi ukweli wa hiki ulichokiandika. Yaani unao ushahidi juu ya hili ?

Haya maneno hayana maana yoyote,zaidi ya kudhihirisha ujinga walio na watu juu ya masuala haya. Kama ulikuwa muovu ujue kuna maisha baada ya kifo chako na malipo huanzia hapo,kama ulikuwa mwema kadhalika unaendelea kula maisha,mpaka Kiama kinapo simama.
Kwaiyo ndo yale mambo ya rungu kubwa la kupigwa kichwani
 
Roho inasubiri Kiama ikiwa wapi ?

Ushawahi kuhakiki Imani yoyote ukajua ni ya kweli au ya uongo ?
 
Roho inasubiri Kiama ikiwa wapi ?

Ushawahi kuhakiki Imani yoyote ukajua ni ya kweli au ya uongo ?

Ulimwengu wa macho ni mwepesi sana
 
Roho inasubiri Kiama ikiwa wapi ?

Ushawahi kuhakiki Imani yoyote ukajua ni ya kweli au ya uongo ?
Imani inahakikiwaje? Je ninani anathibitisha 'ukweli' au uongo wa imani fulani?
Nimekupa link mbili zilizofafanua hoja zako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom