Hiyo bado mkuu..solution iliyopo ni ile ya kulipia dc unlocker.
inawezekana mimi nimezi unlock mara nyingi sana kama una kichwa chepesi ukielekezwa ni pm.
inawezekana mimi nimezi unlock mara nyingi sana kama una kichwa chepesi ukielekezwa ni pm.
Mkuu nimekucheck pm
Fanya mambo
tunaomba majibu ya PM
bado????
mimi ndo nimenunua leo sasa itakula kwangu. najuta