Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,282
- 7,379
Story ya Jaymoe na Langa iko hivi kwenye wimbo ya Jipange wa Jaymoe , Kuna mstari jay moe anasema
" Amani kwa kaka voda milionea/ Wastue wadogo zako waache poda wale mmea/
Hapa alikua akijaribu kumkumbusha Kaka voda awastue kina langa kua Unga sio mzuri
Langa Ni kama alipanic akaja kujibu
Amani kwa kaka voda milionea/ mwambie moe aache ushoga na umbea/
Kupitia hii line Jaymoe alihuzunika sana kwanini anajaribu kuwakumbusha kina langa kuacha matumizi ya unga ila anatukanwa, Haikuishia hapo
Baada ya Langa kuja kustuka kuwa madawa yanamuharibia akaanza kujirudi akatoa project kadhaa na zikafanya vizuri tuu
Mfano Am supplying & Rafiki wa kweli na Kifo jela ah taasisi
Sasa kipindi langa anajitafuta kurudi mainstream baada ya kutoa Am supplying , Kipindi anafanya ngoma ya Rafiki wa kweli ,iliyofanyiwa production na P funk majani,akawa anataka kwenye hii ngoma ya Rafiki wa kweli amshirikishe Jay moe , Lengo ilikua ni kuwaonyesha watu kuwa yeye na Moe hawana matatizo
Alivomtafuta jaymoe ikashindikana coz jaymoe alikua bado ana hasira kwann Langa alimtukana kwenye ile line ya
"Amani kwa kaka voda milionea/ Mwambie moe aache ushoga na umbeya"
Bhas ikabidi langa akomae mwenyewe ngoma nzima ,na ilivotoka ilifanya vizuri sana,
Ikabidi Langa kwenye Ngoma ya Kifo,Jela au taasisi aliweke sawa hilo swala
Kuna line anasema
"Amani kwa kaka voda milionea/ Mwambie Moe sili poda wala mmea/
Tukirudi kwa Jay moe, anakiri alivopata habari kuwa Langa amefariki, Alilia sana, na sababu kuu iliyomfanya Moe akalia ni kwamba kipindi Langa yuko hai alijaribu kumtafuta moe mara kadhaa ili wamalize tofauti zao ,ikiwa ni pamoja na kushirikishwa kwenye wimbo wa Rafiki wa kweli ila kiburi chake kikapelekea mpaka Langa anafariki hawaja maliza tofauti zao
Moe anasema hiki kitu kinamuuma sana.
Moja ya line kali nnazozikubali kutoka kwa the late langa ni
Wananichekea usoni kisogoni wananisema/
Wanatafuta mabaya wanajifanya hawaoni mema/
Rest in peace Lyrical And Naturally Gifted African (LANGA)
" Amani kwa kaka voda milionea/ Wastue wadogo zako waache poda wale mmea/
Hapa alikua akijaribu kumkumbusha Kaka voda awastue kina langa kua Unga sio mzuri
Langa Ni kama alipanic akaja kujibu
Amani kwa kaka voda milionea/ mwambie moe aache ushoga na umbea/
Kupitia hii line Jaymoe alihuzunika sana kwanini anajaribu kuwakumbusha kina langa kuacha matumizi ya unga ila anatukanwa, Haikuishia hapo
Baada ya Langa kuja kustuka kuwa madawa yanamuharibia akaanza kujirudi akatoa project kadhaa na zikafanya vizuri tuu
Mfano Am supplying & Rafiki wa kweli na Kifo jela ah taasisi
Sasa kipindi langa anajitafuta kurudi mainstream baada ya kutoa Am supplying , Kipindi anafanya ngoma ya Rafiki wa kweli ,iliyofanyiwa production na P funk majani,akawa anataka kwenye hii ngoma ya Rafiki wa kweli amshirikishe Jay moe , Lengo ilikua ni kuwaonyesha watu kuwa yeye na Moe hawana matatizo
Alivomtafuta jaymoe ikashindikana coz jaymoe alikua bado ana hasira kwann Langa alimtukana kwenye ile line ya
"Amani kwa kaka voda milionea/ Mwambie moe aache ushoga na umbeya"
Bhas ikabidi langa akomae mwenyewe ngoma nzima ,na ilivotoka ilifanya vizuri sana,
Ikabidi Langa kwenye Ngoma ya Kifo,Jela au taasisi aliweke sawa hilo swala
Kuna line anasema
"Amani kwa kaka voda milionea/ Mwambie Moe sili poda wala mmea/
Tukirudi kwa Jay moe, anakiri alivopata habari kuwa Langa amefariki, Alilia sana, na sababu kuu iliyomfanya Moe akalia ni kwamba kipindi Langa yuko hai alijaribu kumtafuta moe mara kadhaa ili wamalize tofauti zao ,ikiwa ni pamoja na kushirikishwa kwenye wimbo wa Rafiki wa kweli ila kiburi chake kikapelekea mpaka Langa anafariki hawaja maliza tofauti zao
Moe anasema hiki kitu kinamuuma sana.
Moja ya line kali nnazozikubali kutoka kwa the late langa ni
Wananichekea usoni kisogoni wananisema/
Wanatafuta mabaya wanajifanya hawaoni mema/
Rest in peace Lyrical And Naturally Gifted African (LANGA)