DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,064
- 45,675
Nipo nasoma Biography ya Jay z nimeona kazaliwa 1969 na kaoa Mwaka 2008 na kapata mtoto wake wa kwanza na Beyonce Mwaka 2012
Na watoto wake mapacha kawapata Mwaka 2017
Maana yake Jay z kaoa akiwa na miaka 38
Nilichogundua Mambo ya kuoa yanahitaji kujipanga yaani kutafata Direction na sio speed
Jay z analingana umri sawa na Mama yangu mzazi
Sasa nashangaa huku TANZANIA au bongo unaambiwa kuoa wakati ndo kwanza una 26 hata 30 hujafika huku unaingiza laki tano maajabu Sana.
Kiufupi Mimi nikifika 40 ndo ntawaza kuoa tuache mihemko kuoa kupo tu.
NB: Mimi Jay z ni moja ya role model wangu akifatiwa kwa ukaribu na Mshana Jr na Dr Issack Maro wa clouds fm radio na mwisho Sugu Deiwaka Jongwe
Na watoto wake mapacha kawapata Mwaka 2017
Maana yake Jay z kaoa akiwa na miaka 38
Nilichogundua Mambo ya kuoa yanahitaji kujipanga yaani kutafata Direction na sio speed
Jay z analingana umri sawa na Mama yangu mzazi
Sasa nashangaa huku TANZANIA au bongo unaambiwa kuoa wakati ndo kwanza una 26 hata 30 hujafika huku unaingiza laki tano maajabu Sana.
Kiufupi Mimi nikifika 40 ndo ntawaza kuoa tuache mihemko kuoa kupo tu.
NB: Mimi Jay z ni moja ya role model wangu akifatiwa kwa ukaribu na Mshana Jr na Dr Issack Maro wa clouds fm radio na mwisho Sugu Deiwaka Jongwe