Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Umenichekesha SanaMtuache jamani tulale kwa amani
Umenichekesha SanaMtuache jamani tulale kwa amani
Nilimshangaa pia.Huu 'Uzi' umeuanzisha Jana halafu tena ukaandika bado dakika 15 Clouds FM na Clouds TV wawe 'Hewani' tena halafu hapo hapo katika 'Content' yako hapa umeandika kabisa kuwa wana 'Adhabu' ya Siku Saba ( 7 ) ambayo 'Logically' tu inaisha Leo na baada ya Saa 5:59 Usiku wa leo ndiyo inaisha hivyo wataanza kuwa 'Hewani' rasmi tarehe 4 Septemba 2020 Siku ya Ijumaa. Hivi hili Jambo 'dogo' tu lilikushinda 'Kulielewa' hadi uje 'Ujichoreshe' hapa jinsi ulivyo 'Mtupu' Kichwani mwako? Kupitia huu 'Upuuzi' wako sasa nami nakubaliana na 'Wadau' kwamba ipo haja kabisa 'Mtaaala' wa Elimu wa sasa wa Tanzania ufanyiwe 'Review' kwani unazalisha Wasomi 'Wapumbavu' na 'Wapuuzi' mno ambao hawavumiliki.
Siku 7 zinatimia ikiwemo Sept 03 , watarudi hewani tarehe 04 Sept, wakiwa wanyonge.Ikumbukwe wiki iliyopita Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) liiadhibu Clouds FM na Clouds TV kusitisha matangazo kwa siku 7 hadi Septemba 03, 2020.
[emoji3526][emoji3526]Huu 'Uzi' umeuanzisha Jana halafu tena ukaandika bado dakika 15 Clouds FM na Clouds TV wawe 'Hewani' tena halafu hapo hapo katika 'Content' yako hapa umeandika kabisa kuwa wana 'Adhabu' ya Siku Saba ( 7 ) ambayo 'Logically' tu inaisha Leo na baada ya Saa 5:59 Usiku wa leo ndiyo inaisha hivyo wataanza kuwa 'Hewani' rasmi tarehe 4 Septemba 2020 Siku ya Ijumaa. Hivi hili Jambo 'dogo' tu lilikushinda 'Kulielewa' hadi uje 'Ujichoreshe' hapa jinsi ulivyo 'Mtupu' Kichwani mwako? Kupitia huu 'Upuuzi' wako sasa nami nakubaliana na 'Wadau' kwamba ipo haja kabisa 'Mtaaala' wa Elimu wa sasa wa Tanzania ufanyiwe 'Review' kwani unazalisha Wasomi 'Wapumbavu' na 'Wapuuzi' mno ambao hawavumiliki.
Kifungo hadi Sept 3 Inclusive ,hii ina maana watawasha mitambo kuanzia tar 4.
Stress za maisha zinakusumbua sio bureHuu 'Uzi' umeuanzisha Jana halafu tena ukaandika bado dakika 15 Clouds FM na Clouds TV wawe 'Hewani' tena halafu hapo hapo katika 'Content' yako hapa umeandika kabisa kuwa wana 'Adhabu' ya Siku Saba ( 7 ) ambayo 'Logically' tu inaisha Leo na baada ya Saa 5:59 Usiku wa leo ndiyo inaisha hivyo wataanza kuwa 'Hewani' rasmi tarehe 4 Septemba 2020 Siku ya Ijumaa. Hivi hili Jambo 'dogo' tu lilikushinda 'Kulielewa' hadi uje 'Ujichoreshe' hapa jinsi ulivyo 'Mtupu' Kichwani mwako? Kupitia huu 'Upuuzi' wako sasa nami nakubaliana na 'Wadau' kwamba ipo haja kabisa 'Mtaaala' wa Elimu wa sasa wa Tanzania ufanyiwe 'Review' kwani unazalisha Wasomi 'Wapumbavu' na 'Wapuuzi' mno ambao hawavumiliki.
Huu 'Uzi' umeuanzisha Jana halafu tena ukaandika bado dakika 15 Clouds FM na Clouds TV wawe 'Hewani' tena halafu hapo hapo katika 'Content' yako hapa umeandika kabisa kuwa wana 'Adhabu' ya Siku Saba ( 7 ) ambayo 'Logically' tu inaisha Leo na baada ya Saa 5:59 Usiku wa leo ndiyo inaisha hivyo wataanza kuwa 'Hewani' rasmi tarehe 4 Septemba 2020 Siku ya Ijumaa. Hivi hili Jambo 'dogo' tu lilikushinda 'Kulielewa' hadi uje 'Ujichoreshe' hapa jinsi ulivyo 'Mtupu' Kichwani mwako? Kupitia huu 'Upuuzi' wako sasa nami nakubaliana na 'Wadau' kwamba ipo haja kabisa 'Mtaaala' wa Elimu wa sasa wa Tanzania ufanyiwe 'Review' kwani unazalisha Wasomi 'Wapumbavu' na 'Wapuuzi' mno ambao hawavumiliki.
Stress za maisha zinakusumbua sio bure
Hata mimi nimeshangaa kama wamefungiwa kwa siku 7 hadi Septemba 03 ilikuwaje nikaposti kuwa bado dk 15 Clouds fm na Clouds tv warudi hewani wakati hiyo Septemba 03 hata haijafika, maswali uliyoandika mimi ndio yapo kichwani.
Labda nikuswalike GENTAMYCINE Hivi Krismasi na Mwaka Mpya mpya ni ipi inaanza? zimepishana kwa siku ngapi?
Soma na kuelewa kwanza, kabla haujajibu swali.
Sasa watajuaje kajamba!? Au jamaa huwa anajamba hadharani tena kwa kishindo?Watamsifia mgombea wa CCM kwa kila hali,hata akijamba atasifiwa tu,huo ndiyo usalama wao
Aisee siku zinakimbia sanaIkumbukwe wiki iliyopita Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) liiadhibu Clouds FM na Clouds TV kusitisha matangazo kwa siku 7 hadi Septemba 03, 2020.
Hata yule aliyesema by 2020 upinzani utakuwa umekufa kutokana na figisu anazowafanyia anashangaa eti bado una watu.Mmmmmm! Eti mi naona ni kama hiyo adhabu wameanza kuitumikia jana tu. Mara hii wiki imekwisha?
Inatakiwa iwe hivyo tar 4 ndio inarudi hewani.Hivyo ndivyo ilivyo au Ndio inatakiwa iwe?
"Baboo"...dada namkubali sana huyu japo kuna muda anakera sio kesinawasubiri kwa hamu na shauku kubwa sana nimemiss sauti ya mwanadada babrah hassan
😂 😂 😂 😂 😂Mpaka sasa ni masaa 12 na dakika 26 tangu siku mpya iingie. Vipi na wao wameamua kususa, au!?