nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 996
- 826
Ikumbukwe wiki iliyopita Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) liiadhibu Clouds FM na Clouds TV kusitisha matangazo kwa siku 7 hadi Septemba 03, 2020.
Hahhaahahahhaahahahajaja....u made my nightWakirudi watasifia hata kivuli. Watakuwa live zaidi ya TBC.
Eeeh Mbona siku hizi siku 7 zinayoyoma Sana?!Ikumbukwe wiki iliyopita Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania iliiadhibu Clouds fm na Clouds tv kusitisha matangazo kwa siku 7 hadi Septemba 03, 2020.
Mtuache jamani tulale kwa amani
hatareeeh San lolWakirudi watasifia hata kivuli. Watakuwa live zaidi ya TBC.
Kifungo hadi Sept 3 Inclusive ,hii ina maana watawasha mitambo kuanzia tar 4.Ikumbukwe wiki iliyopita Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania iliiadhibu Clouds fm na Clouds tv kusitisha matangazo kwa siku 7 hadi Septemba 03, 2020.
Warudi jamani tunaimiss radio ya watuKifungo hadi Sept 3 Inclusive ,hii ina maana watawasha mitambo kuanzia tar 4.
Walijisau sana! Na hivi Ruge hayupo,kazi wanayo!!Akili zitakua zimewakaa sawa sasa, kila mtu, chombo na taasisi ataguswa kwa muda na nafasi yake
Wanarudi ijumaa acha kiherehereIkumbukwe wiki iliyopita Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania iliiadhibu Clouds fm na Clouds tv kusitisha matangazo kwa siku 7 hadi Septemba 03, 2020.
Mmmmmm! Eti mi naona ni kama hiyo adhabu wameanza kuitumikia jana tu. Mara hii wiki imekwisha?Wanarudi ijumaa acha kiherehere
au kavipi waongezewe sio ?Mmmmmm! Eti mi naona ni kama hiyo adhabu wameanza kuitumikia jana tu. Mara hii wiki imekwisha?
Ikumbukwe wiki iliyopita Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania iliiadhibu Clouds fm na Clouds tv kusitisha matangazo kwa siku 7 hadi Septemba 03, 2020.