Bado dakika 15 Clouds FM na Clouds TV kurudi hewani

Bado dakika 15 Clouds FM na Clouds TV kurudi hewani

Kwahiyo Kuna watu mlikuwa mpo attention kuisubiri clouds irudi hewani..!! Hayo ni mahaba aisee
 
Joseph Kusaga, CEO CMG. Ametoa shukrani kwa Mamlaka, Wadau na Wateja, Wasikilizaji bila kusahau "Watu" sababu Clouds fm ni Redio ya Watu, pia amemshukuru Mungu kwa kutokea yaliyotokea. Hakuna Mungu Kama Wewe Bwana, favourite song yake.

#ShangaziBiggie
 
Back
Top Bottom