Uhalisia ni upi sasa hapo? Kisa tu michoro na maneno yaloandikwa in english kunatosha kutufanya tuamini umefanya tafiti na kwamba tukubaliane na ramli zako? Kisa imeandikwa kwa kiingereza na michoro yake...
Hayo unayotueleza ni kuwajengea tu watu wa Mungu hofu unnecessarily!
Kwa wale wakirsto, damu ya mwana kondoo wa Mungu (Yesu Kristo) yatosha. Weka kitanda chako kona yoyote, elekeza kokote utakako lala kwa amani yote ya Bwana Yesu na hutopata usumbufu wowote!
Hayo mengine tuwaachie wapagani na uchawi wao...
Ps: hivi majuzi tu ulikuwa unachambua somo moja zuri na zito la "Malango", ulisema mwenyewe umeachana na haya Mambo lkn sasa Umerudi tena kuwatia watu wa Mungu hofu na imani za ajabu ajabu!
Acha kuwatia watu wa Mungu hofu na usumbufu usio wa lazma!