Labda BBC ya Msata
Kwa hiyo sherehe yetu tulifanya bure sio??
Naskia jamaa alushaipangia bajeti ikitoka tu CHATOdah ama kweli sijui hapa serikali itachukua uamuzi upi sasa maana trillions hazitalipwa, iyo 700 haitalipwa, je hii inatupa picha kuwa hayo madai ni ya uongo kwao au wameamua ili serikali ijaribu kama itaweza ivunje mkataba halafu wapelekane mahakamani; huu unaweza kuwa ni mtego
Vile vyeti mkurupukaji uchwara alivyovitoa eti kwa kazi nzuri sasa awaambie wavirudishe Ikulu haraka sana.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo October, 23 ametuku vyeti Maalum vya shukrani kwa kamati maalumu za uchuguzi na majadilino kati ya Serikali na Kampuni ya uchimbaji madini ya Barrik Gold Corporation ambayo yalifanikiwa.
Duuuuuuh!Hamkuvutwa nywele za tako kusaini mikataba. Ilikua either msiwakaribishe au muyaache pale yaoze full stop
Mkuu hujaweka linkItajulikana tu uhalisia wake
Kwahiyo hawa wanaume wamegoma kutulipa??
Maskini leseni yangu ya kuendesha Noah....