Mrisho com
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 3,899
- 3,936
Leo nimepita mitaa ya huku Aggrey Kariakoo nimekutana na jamaa akiwa anamuwekea nyimbo mama mmoja kwenye flash ikabidi nisogelee nipate kumuhoji yule jamaa huku akinisindikiza na vibao mbalimbali kutoka kwa Bad Bakule kama Paulina, Mgumba.
Kwakweli kwa miaka ile ya 2000 kulikuwa na burudani haswa, hawa kutoka kwa huyu mwamba akiwa na wenzie wengi.
Yupo wapi huyu jamaa angalau hata ikitokea kufahamu basi tulandelande kupata mawili matatu kutoka kwakwe.
Kwakweli kwa miaka ile ya 2000 kulikuwa na burudani haswa, hawa kutoka kwa huyu mwamba akiwa na wenzie wengi.
Yupo wapi huyu jamaa angalau hata ikitokea kufahamu basi tulandelande kupata mawili matatu kutoka kwakwe.