barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Kwani imethibitika Dr. Shika ni nani??Hata Dk Shaka mlimbeza oooh ni tapeli .. nyooo.
Kwani imethibitika Dr. Shika ni nani??Hata Dk Shaka mlimbeza oooh ni tapeli .. nyooo.
Hahah hili jibu lako hili mkuu.Nimetoka huko nami hakuna ngoja tuone kesho
2019 "Nimeweza pambana na wazungu walituibia sana madini sasa nmewakomoa"Tuneshatulizwa
Majibu ya kikomavu.View attachment 632570View attachment 632571View attachment 632572View attachment 632573View attachment 632574kukulaumu wewe nitakuwa nimelitendea jukwaa dhambi kubwa sana
Wanaume wenye viashiria vya utamaduni wa kupakwa mafuta utawajua tu, unamshangaa kidume mwenzako kutafuta chumba cha 120,000 , hahahaha naishi raha mustarehe huku nilipo kwa bei hiyoView attachment 632570View attachment 632571View attachment 632572View attachment 632573View attachment 632574kukulaumu wewe nitakuwa nimelitendea jukwaa dhambi kubwa sana
Kwa taarifa yako ninaweza kukulea wewe na Mke wakoMajibu ya kikomavu.
Bado chumba shida halafu
Anakosa heshma pumbuvuu kabisa
hahaha sawa kijanaKwa taarifa yako ninaweza kukulea wewe na Mke wako
Wanaume wenye viashiria vya utamaduni wa kupakwa mafuta utawajua tu, unamshangaa kidume mwenzako kutafuta chumba cha 120,000 , hahahaha naishi raha mustarehe huku nilipo kwa bei hiyo
hahahaha naona mnamkaribisha kijana jfView attachment 632640bado unapaswa kuelimishwa.. Kwasasa kipaumbele chako ni kupanga chumba, na wala sio nyumba.. Yani ni dalili za kuanza maisha, kuna tofauti Kuwa kati yetu kuanzia umri mpaka uelewa... Hata lugha yako inakufunua uhalisia wako