Bad habits

Unabanwa na joto lote hili halafu anajifanya kawasha feni unaamka na mafua asubuhi taabu tupu tu yaani

Unajua dearest kuna wakati maisha yanatufanya tufanye choice fulani fulani...mi juzi nimeenda sokoni,kununua vitu tu vya kutumia nyumbani....yaani nilienda na elfu kumi,vitu nivivyorudi navyo havikidhi hata nusu ya mahitaji niliyokuwa nayo....nikawa nawaza,halafu hapo nimepata mume wa kipato cha chini kama mimi,hivi kweli tunaishije? Chumba tupange tubanane, kwenye kula nako tujibane,shule ya watoto,matibabu...etc etc....?nikasema si walaumu wanaochukia wanaume wa kipato cha chini...sasa ndo hayo ya kuwasha feni kwenye mivumbi, watu tuna allergy zetu....kweli kila mtu achague analoweza kubeba.....!
 
Hahahaha atakwambia ukinichoka uwe unalala sebuleni na joto likozidi jilaze sakafuni.

Lolest,aombe hicho kitanda kisiwe kile nilichozawadiwa kwenye kitchen party au send-off, atalala sakafuni....tena umenifungua macho,nikiulizwa wataka nini kwenye kitchen party na send off, nasema kitanda na mashuka yake....lol....nitakifunga hata sebuleni kwake...khaaaaaaaaaaaa!
 
Lizzy haya uliyoyaandika hapa kuhusu personal habits zako(ubishi,ukorofi,kiburi etc) kama ni ya kweli na sio ya kufurahisha baraza (maana weekend inakaribia) then let me sum you up,YOU ARE A DIFFICULT PERSON, and for that matter wanaume wa kiswahili ninaowajua mimi hawakufai kabisa na wala wewe huwafai kabisa! Samahani kwa kusema hivi but that is my take.
 
DA jamani hata kukumbatiwa? Mi napenda sana aisee. . .

Wengi wetu tunapenda ila sasa joto hadi mtu akikuwekea mikono inaganda kwenye ngozi,unajisikia kama kuchubuka...kero iyo!
 
una akili nyingi sana wewe!
 
HC hajambo? msalimie.
 

kuanzia leo bosi wangu namuita Mkoloni, soure: JF
 

Hahahahaha dearest bana. . . si atanuna alafu kesho yake pasikalike? Jitahidi sana 'changu,yangu' yasiwe maneno ya utambulisho wako.
 

Hapo kwenye aleji ndo kabisa ndugu balaa tupu
 
Hiyo inanirahisishia na kunipunguzia watu wa kuwatolea nje.

Thanks
 
Wengi wetu tunapenda ila sasa joto hadi mtu akikuwekea mikono inaganda kwenye ngozi,unajisikia kama kuchubuka...kero iyo!
Kukiwa na joto kwakweli hata mimi sitomwelewa. . . labda anipepee. . Lolz
 
Hahahahaha dearest bana. . . si atanuna alafu kesho yake pasikalike? Jitahidi sana 'changu,yangu' yasiwe maneno ya utambulisho wako.

Kama nikilala nae ndo nitakuwa kero zaidi kuliko nikilala peke yangu...basi bora nijilalie peke yangu...changu yangu kwenye starehe zangu dearest, mi nishindwe kulala,niwe na mis-stress na uchovu siku nzima kisa kuna mtu anataka usiku anikumbatie na joto la 40?

Kuna vitu tutashirikiana lakini si kila kitu....! Namuona Bishanga kaja,natoka kidogo sasa!:washing:
 


Na vipi unapofanya juhudi za kuwasiliana na mwenzako na yeye asitoe ushirikiano kwenye sekta hii ya mawasiliano? Mbaya zaidi ni kwa yule anayeelewa lkn anaamua tu kumtesa mwenzake kwa kutaka tu kuonekana kwamba yeye ndo kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…