Back the memory lane

Back the memory lane

kurunzi
FB_IMG_1547875186419.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inanikumbusha mzee wangu alikua na radio moja inaitwa NATIONAL PANASONIC memory Q.yaani iyo radio ilikua ukitaka ugombane na mzee nenda kaichukue chumbani kwake aje aikute sebuleni.patachimbika siku iyo.


Jr
 

Hii ni Koroboi....nimeitumia sana kwenye mtihani WA darasa la nne na darasa la saba.
Vijana WA Leo umeme ukikatwa dk. 5 JPM na Tanesco watalaaniwa na kutukanwa mpaka basi.

Ndo maana wengine tuko bitter na maisha especially mtu akitaka kukuletea upuuzi. Maana tulikotoka na kuchomoka ni Mungu tuu!
 
Back
Top Bottom