Light Saber Imetosha Sasa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,632
- 8,320
Hii kitu siku za karibuni nilishangaa kuona inauzwa dukani tena hapa darisalama aisee hatari sana
Acha hizo mambo basi kijana
Ok,niwie radhi, karibu mzee mwenzanguSiko kwenye hatua ya ujana tafadhali
Jr![]()
Ilikuwa inatumia betri vibaya sanaHii inanikumbusha mzee wangu alikua na radio moja inaitwa NATIONAL PANASONIC memory Q.yaani iyo radio ilikua ukitaka ugombane na mzee nenda kaichukue chumbani kwake aje aikute sebuleni.patachimbika siku iyo.
Betri zilikuwa zikiisha nazigongagonga kisha naanika juani kutwa nzima jioni full muziki Mara redio inakula kanda.!zikinunuliwa betri mpya ni full muziki mpaka zianze kukoroma ndio mnafungulia upande wa redio
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo yetu ya wakati uleeee.View attachment 1003035View attachment 1003036View attachment 1003037View attachment 1003039
Sent using Jamii Forums mobile app





Mambo yetu ya wakati uleeee.View attachment 1003035View attachment 1003036View attachment 1003037View attachment 1003039
Sent using Jamii Forums mobile app





Unakunja boksi kisha unaunga betri 12 !Hapa napo sijaona BIC ya kuzungushia kanda. Na betri za kuanika na kisha kuunga
Sent using Jamii Forums mobile app