Mnalishwa hamira kwa wingi hamjui tu! Mgahawani mnauziwa chakula kilichobaki jana!uko sahihi, kujipikia bachela ni bajeti kubwa na uharibifu wa chakula maana kikibaki utalazimika kukitupa kwa kuwa kitakuwa kimechacha. Mgahawani unapewa madikodiko mengi kwa gharama ndogo na huokoa muda wa kupika upate muda wa kupumzika unaporudi nyumbani baada ya kazi
Ningali kijana hata mimi niliamini hivyo 100%; migahawa mikubwa yote ya Sinza wakati huo walinijuwa sana hasa kwa vile nilikuwa na gari la kipekee sana enzi hizo, hivyo ukishafika na kupaki wanajua umefia. Lakini baadaye nilikuja gundua kuwa ulikuwa ni ujinga sanaKuna vitu unafanya halafu siku ukakaa ukatafakari utaona ulichagua njia isiyo sahihi kabisa....
Unapokua unaishi mwenyewe, ukaamua kujipikia basi labda iwe kwa mtazamo huuu
1. Ni kitu unapenda kutoka moyoni,
2. Unapoishi hakuna mgahawa karibu
3. Uchafu wa migahawa inayokuzunguka
4. Huwezi kutunza pesa hivyo bora ununue chakula hata ukiishiwa unachakua n.k lakini sio sababu ya Saving.
Lakini kinyume na hapo kama unaamini una save chochote basi unajidanganya,
1. Kupoteza mda, hiki ndio kipengele kikubwa, kuanzia manunuzi/maandalizi, kupika kwenyewe, kuosha vyombo, kusafisha jikoni, kupanga na shughuli nyingne zote zinazofanyika jikoni...
2. Kero za takataka, hasa ndugu zangu wa mjini, umepika ushamaliza mambo yako tumbo limejaa, kipengele ukiangalia makololo ya mabaki ya vyakula, hapo ndio unafikiria pakuyapeleka, Nyumba nyingne hazina Waste disposal nzuri, ni timing ifike usiku ukatupe barabarani.
3. Kero ya kucheza na bajeti, mda wote wewe kuwaza, unga nusu shilling kadhaa,mafuta nusu bei ile, Sukari kilo sijui sh ngapi, kesho ukienda bei imebadirika unakua mkali..
4. Gharama, kujipikia ni gharama, usijidanganye kabisa eti kuna kitu una save, Leo hii unaweza ukaenda mgahawani ukala chakula cha Buku, niambie ni katika mazingira gani utajipikia chakula baadae ukijumlisha mboga, chakula, gas, viungo, Chumvi n.k utakua umetumia chini ya buku? Nipe hio bajeti hapa na kweli iwe applicable.
5. Hasara, katika upikaji sio mda wote unachopika unakila chote, kuna kubakia, kuharibika, kuharibu, kuunguza n.k zote hizo ni lost ambazo ukiziweka kwenye mahesabu unazidi kuongeza budget..
6. Ratiba, upo sehemu unafanya hili na lile, kichwani unawaza kwenda kugombana na masufuriaa, unalazimika kufunga hata ofisi sababu umekua mfungwa wa kujipikia
Faida za kula mgahawani..
1. Unaokoa mda, hili ndio kubwa, utatumia huu mda kufanya mambo mengine ya msingi
2. Unaokoa pesa
3. Unakua flexible na nini ule, Nyumbani mda mwingine unalazimika kula kitu ambacho kuhutaka sababu tuu ndio kimebaki hutaki kukiharibu au
4. Unakua huru na ratiba zako mda ukifika unaenda kula unaendelea na ratiba.
5. Usafi, mda mwingi ndani panakua pasafi, unapofanya usafi ni wakawaida, Kinyume na hapo unatembea njiani vidole vinanuka vitunguu..
6. Unaepuka kero za takataka na maji taka.
Katika hayo yote simaanishi ndio usijue kupika, simaanishi usiwe na chombo hata kimoja,
Jifunze kupika, mana hujui na mazingira gani utalazimima kupika..
Nunua vyombo vyote, siku kwa kujiachia ukaona leo na mimi nijipikie, hio pia iko poa
ILA SIO KUA MTUMWA WA MAPISHI..
Pia kwa kiasi kikubwa hapa nazungumzia wale tuliopanga,
Kwa watu wenye Familia au zaidi ya mmoja Hilo la kupika yaweza kua options nzuri, Pia katika hili Sijalenga wanawake.
Niko tayari kukosolewa na kurekebishwa kwa hoja itapendeza.
Najua ni maisha yako, Sijakupangia namna ya kusihi, ni mtazamo tuu.
Gharama za kula mgahawani hakuna tofauti na kupika faida ya kupika mwenyewe ipo kwenye ubora wa chakulaKula mgahawani ni gharama kuliko kupika
Kaa chini upige tena hesabu zako
Mimi ninapoishiKula mgahawani ni gharama kuliko kupika
Kaa chini upige tena hesabu zako
Ukweli mtupu. Chakula cha mtu mmoja ni ghali sana. Yaani mboga tu gharama yake unaongelea zàidi ya 4000 mpaka ikamilike kulika.Kuna vitu unafanya halafu siku ukakaa ukatafakari utaona ulichagua njia isiyo sahihi kabisa....
Unapokua unaishi mwenyewe, ukaamua kujipikia basi labda iwe kwa mtazamo huuu
1. Ni kitu unapenda kutoka moyoni,
2. Unapoishi hakuna mgahawa karibu
3. Uchafu wa migahawa inayokuzunguka
4. Huwezi kutunza pesa hivyo bora ununue chakula hata ukiishiwa unachakua n.k lakini sio sababu ya Saving.
5. Mgahawani hawapiki chakula kizuri.
Lakini kinyume na hapo kama unaamini una save chochote basi unajidanganya,
1. Kupoteza mda, hiki ndio kipengele kikubwa, kuanzia manunuzi/maandalizi, kupika kwenyewe, kuosha vyombo, kusafisha jikoni, kupanga na shughuli nyingne zote zinazofanyika jikoni...
2. Kero za takataka, hasa ndugu zangu wa mjini, umepika ushamaliza mambo yako tumbo limejaa, kipengele ukiangalia makololo ya mabaki ya vyakula, hapo ndio unafikiria pakuyapeleka, Nyumba nyingne hazina Waste disposal nzuri, ni timing ifike usiku ukatupe barabarani.
3. Kero ya kucheza na bajeti, mda wote wewe kuwaza, unga nusu shilling kadhaa,mafuta nusu bei ile, Sukari kilo sijui sh ngapi, kesho ukienda bei imebadirika unakua mkali..
4. Gharama, kujipikia ni gharama, usijidanganye kabisa eti kuna kitu una save, Leo hii unaweza ukaenda mgahawani ukala chakula cha Buku, niambie ni katika mazingira gani utajipikia chakula baadae ukijumlisha mboga, chakula, gas, viungo, Chumvi n.k utakua umetumia chini ya buku? Nipe hio bajeti hapa na kweli iwe applicable.
5. Hasara, katika upikaji sio mda wote unachopika unakila chote, kuna kubakia, kuharibika, kuharibu, kuunguza n.k zote hizo ni lost ambazo ukiziweka kwenye mahesabu unazidi kuongeza budget..
6. Ratiba, upo sehemu unafanya hili na lile, kichwani unawaza kwenda kugombana na masufuriaa, unalazimika kufunga hata ofisi sababu umekua mfungwa wa kujipikia
Faida za kula mgahawani..
1. Unaokoa mda, hili ndio kubwa, utatumia huu mda kufanya mambo mengine ya msingi
2. Unaokoa pesa
3. Unakua flexible na nini ule, Nyumbani mda mwingine unalazimika kula kitu ambacho kuhutaka sababu tuu ndio kimebaki hutaki kukiharibu au
4. Unakua huru na ratiba zako mda ukifika unaenda kula unaendelea na ratiba.
5. Usafi, mda mwingi ndani panakua pasafi, unapofanya usafi ni wakawaida, Kinyume na hapo unatembea njiani vidole vinanuka vitunguu..
6. Unaepuka kero za takataka na maji taka.
Katika hayo yote simaanishi ndio usijue kupika, simaanishi usiwe na chombo hata kimoja,
Jifunze kupika, mana hujui na mazingira gani utalazimima kupika..
Nunua vyombo vyote, siku kwa kujiachia ukaona leo na mimi nijipikie, hio pia iko poa
ILA SIO KUA MTUMWA WA MAPISHI..
Pia kwa kiasi kikubwa hapa nazungumzia wale tuliopanga,
Kwa watu wenye Familia au zaidi ya mmoja Hilo la kupika yaweza kua options nzuri, Pia katika hili Sijalenga wanawake.
Niko tayari kukosolewa na kurekebishwa kwa hoja itapendeza.
Najua ni maisha yako, Sijakupangia namna ya kusihi, ni mtazamo tuu.
Swala la ubora ni mahali unakokula ww. Me huku wapo wapishi wazuri tu mgahawani.Gharama za kula mgahawani hakuna tofauti na kupika faida ya kupika mwenyewe ipo kwenye ubora wa chakula
Mimi ninapoishi
Ugali/Wali + Mboga za majani, Dagaa/maharage = 1000
Ugali/Wali + Mboga za majani, Nyama(3) = 1500
Twende hapa... ukijipikia.
Mboga za majani, Nyanya, Vitunguu, chumvi, karoti, hoho(hivyo vyote navipata ndani ya buku) weka sasa hizo Dagaa na unga au mchele ni katika mazingira gani utavipata chini ya buku?
Ukiweza kujikongoja, njoo kwenye Gas, mafuta,
Suala la GHARAMA naungana na mtoa mada, hakuna mazingira unaweza kupika chakula cha kawaida tuu chini ya Buku. HAKUNA, Come again.
Ni kweli, tukija katika picha hio, tutoe suala la gharama ila tusema tuu chakula cha mgahawani kwa ujumla tuu ni kichache, mana kuna sehemu unakula chakua cha elf nne bado unaweza usishibe.Icho chakula cha 1000/2000 kwa mwanaume hakitoshi labda km unafanya kazi ya kuuza duka
Point.Nikijipikia mboga itabaki nitaila wakati Mwingine.
Nikijipikia nitakula kile kitu roho inapenda.
Nikijipikia Nina uhakika na chakula ninachokula
Nikijipikia napunguza gharama za matumizi
Duh kumne hapa nitakuwa naulizwa unataka kula kwanza au kulaaaa kwanza🤣🤣🤣🤣Bachelor's nyie ni sawa ila hata baadhi ya wanawake hawawez pika sababu wapo wenyew Kwa mm siwez aisee napika mwanzo mwisho japo nipo mwenyewe napika Milo yote pia naenjoy sababu Nakul kitu ninachotaka
Ni kweli, tukija katika picha hio, tutoe suala la gharama ila tusema tuu chakula cha mgahawani kwa ujumla tuu ni kichache, mana kuna sehemu unakula chakua cha elf nne bado unaweza usishibe.
Ni kweli, tukija katika picha hio, tutoe suala la gharama ila tusema tuu chakula cha mgahawani kwa ujumla tuu ni kichache, mana kuna sehemu unakula chakua cha elf nne bado unaweza usishibe.
Mkuu unaamini ya kua migahawa mingi classic bei ya chakula haiamui wingi bali ubora labda na mboga nyingi kiasi?Labda kama wachimba mtaro na kusukuma mkokoteni
SIKU UKIFA KUNA MALAIKA WA ADHABU ANAKUJA KULIAMSHA NA KAMA WEWE NI MWAFRIKA BADO UTATUMIWA NA UKOO KAMA MZIMU UJE USAIDIE MATATIZO YA UKOO SASA HAPO UNAPUMZIKA VIPI...???Utulivu huwa haupatikani duniani hadi siku ukifa.
Ukiwa na friji na microwave wewe ni kupika vitu vya week mzima kama maharage nyamaMimi ninapoishi
Ugali/Wali + Mboga za majani, Dagaa/maharage = 1000
Ugali/Wali + Mboga za majani, Nyama(3) = 1500
Twende kazi hapa... ukijipikia.
Mboga za majani, Nyanya, Vitunguu, chumvi, karoti, hoho(hivyo vyote unavipata ndani ya buku) weka sasa hizo Dagaa na unga au mchele ni katika mazingira gani utavipata chini ya buku?
Ukiweza kujikongoja, njoo kwenye Gas, mafuta,
Suala la GHARAMA naungana na mtoa mada, hakuna mazingira unaweza kupika chakula cha kawaida tuu chini ya Buku. HAKUNA, Come again.