bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Haloo Wana JF, poleni kwa mahangaiko ya maisha na pilika za utafutaji kwa ujumla.Mimi nimeona nisipitwe nahizi changamoto zinazotolewa kila siku na nisibaki kuwa msikilizaji bali nami niweze kupata fursa ya kutoa mawazo yangu.Naombeni mnipokee na mnivumilie pindi ntakapokosea!si mnajua tena na ugeni nao.......