Tatizo mnabana sana ndio maana sasa hivi hatuoni umaana wa nyie kupendeza.
Mimi nakuwaga muwazi na nikogi hivi hata demua wangu anajua kwa sababu mi ni kijana naelewa nini maana ya kupendeza. Nimemnunulia sister duu wangu vifaa vyote vya muhimu kama saluni kuanzia hand dryer, ile ya kuunguza nywele, sijui vibanio na rundo la mavipodozi sijisifii wala haikua hela nyingi kama 100k hivi.
Masharti ni kwamba hivyo vyote ni kwa utukufu wangu, akipendeza tuu!:couch2:... Namkumbusha haya mama unaona ulivyopendeza?!..Haya tangulia chumbani nakuja :hungry:... Sasa hivi laki yangu imerudi na faida juu..
hahaha we noma!!