Mkuu hii research yakoo?? Kuna tofauti kubwa sana Kati ya kutoa kwa shinikizo na kutoa kwa kujisikia. Anyway huu ni mtazamo sio research.Mwanaume asiyechunjwa ana mawili
1. Anapiga Punye
2. Mashine yake haifanyi kazi (imekufa) hainyanyuki kabisaaa
mwanaume lijali anachunwa 48hrs
Haya sasa ni msimu wa kuombwa kodi za nyumba na ada za watoto na za kwao pia, Wanaume wenzangu kaeni attention wanakuja
umeona eeeeeeeeeeh!! unanidai like.
Kanigini kwa hiyo ulitaka nikuombe 500 ya vocha!!!!!!!!!!!!
halafu na mwanaume unaesubiri kuombwa ndio utoe nae tu ni bahili we jua
mwanamke anahitaji kuhudumiwa