Babu wangu wa hiyari kaninunia

Hahaha
Laana sasa unatafuta, hebu jaribu kumalizia bili ya babu mkuu
mkuu duh hata sijui nifanyeje aisee .... angekuwa ananiruhusu niondoke na uji ningewapa kwa wengine yeye anataka tunywe huku tunapiga stori ndiyo furaha yake
 
Uache tabia ya kula vitu vya mwanaume yeyote yule kama si ndugu wala mtu wako wa karibu maana huyo babu alisha jipanga jinsi ya wewe kulipa huo uji sasa wewe una jidai kukimbia unategemea nini? Babu ana kutaka...
Kimsingi huo uji la utaulipa
 
Uache tabia ya kula vitu vya mwanaume yeyote yule kama si ndugu wala mtu wako wa karibu maana huyo babu alisha jipanga jinsi ya wewe kulipa huo uji sasa wewe una jidai kkukimbia unategemea nini? Babu ana kutaka...
Kimsingi huo uji la utaulipa
ngoja nitafute pesa nimlipe
 
ha hahahaha mkuu umbo langu nitapoteza mvuto aisee
Ila tusimwazie mabaya bana... Nahisi kwa umri wake alikosa japo mtu wa kumpa kampani...Ni wazi umri unapoenda na kama babu sio mcheshi sana inakuwa vigumu kupata maswahiba hasa vijana hivyo alipoona unamuunga mkono kwa uji akajua amepata rafiki japo wa kumpigisha story... Nakumbuka babu yangu aliniambia, nimekuwa mkiwa mjukuu wangu hata nikionekana bar wananishangaa hata kijiweni vijana wanaondoka hivyo tumia ujana wako vyema uzee ni tabu kubwa...Kufikiri hivyo naomba uongee naye na if possible mwambie nitakuwa nakupa kampani ya uji ila naogopa unene...Akikataa hii offer ujue basi ni mzee mtata hivyo jisogeze pembeni....
 
Back
Top Bottom