Babu wa Loliondo "avuliwa nguo"

Babu wa Loliondo "avuliwa nguo"

Mkuu hapa umesema kabisa, hii "placebo effect", the fact kuwa mtu umefika nyumbani kwa babu na kupata kikombe, tayari psychologically unajiona umepona, kumbe hakuna kitu ni placebo tu hahahhhhhh
Hivyo ndivyo ilivyo, na ziada yake ni kwamba:
Dawa ile anayotumia babu kwa wasonjo, wamasai na jamii za wakurya licha ya kuitumia kama sumu kwenye silaha zao za kijadi pia huitumia kama "pain killer" kwa wenye maumivu ya mgongo miguu n.k pia kwa wale wawindaji na wanaotembea umbali mrefu huitumia na dozi ni kikombe kimoja kwa mwezi mmoja na nusu!! Hivyo basi kwa wale wenye kuumwa na viungo wakiitumia huona wamepona kumbe ni nafuu ya muda kama ilivyo kwa zi-panadol!!
 
"Hapa Arusha KILA HOSPITALI IMEPOKEA WATU WA MAGONJWA YA PRESHA, KISUKARI, PUMU, N.K. AMBAO WALIKWENDA LOLIONDO "KUTIBIWA" MARADHI HAYO NA BAADA YA KUPATA "NAFUU" (PSYCHOLOGICAL) KWA KAMA WIKI MBILI TU WAMEANZA KUUMWA SERIOUSLY NA KURUDIA DAWA ZAO ZA HOSPITALI TENA.

Pili, mimi nikiwa mfanyakazi wa maabara ya hospitali ya MT Meru, sijaona hata mgonjwa mmoja wa ukimwi aliyepata "seroconversion" yaani kurudi "seronegative from serpositive status". Kinachosikitisha ni kuwa kuna watu hawataki kabisa kusikia yanayosemwa na madaktari na wafanyakazi wa hospitali mbalimbali hapa Arusha ambao kila siku tuna-deal na watu wanaozidiwa baada ya kwenda Loliondo.


Mbaya zaidi kuna magazeti, tv na redio hayataki kabisa kusikia ukweli wa majanga yaliyowafika watu waliokwenda huko. Ajabu pia ni kuwa kuna watu ambao ukitaka kuwaeleza ukweli wanakuona wewe ni mpagani usiyemwamini Mungu. Naomba waandishi wa habari wawe proactive katika kutafuta ukweli na si kutegemea mass hysteria iliyowakumba maelfu ya watu wanaotafuta miujiza kwa nguvu."

Source: MJENGWA - Picha, Habari & Matangazo: Kama Haya Ni Ya Kweli: Tiba Ya ' Babu' Na Ushuhuda Wa Kimaabara

Mimi nafikiri kila aliyenda na hakupona na ajitokeze kwa sababu tukiongea tu kama hivi na unasema kwamba watu walionde wamerudia dawa na wako hoi si wajitaje au nyie watu wa maabara mnataka kutuambia huyu hakupona,evidence inatakiwa.
 
"Hapa Arusha KILA HOSPITALI IMEPOKEA WATU WA MAGONJWA YA PRESHA, KISUKARI, PUMU, N.K. AMBAO WALIKWENDA LOLIONDO "KUTIBIWA" MARADHI HAYO NA BAADA YA KUPATA "NAFUU" (PSYCHOLOGICAL) KWA KAMA WIKI MBILI TU WAMEANZA KUUMWA SERIOUSLY NA KURUDIA DAWA ZAO ZA HOSPITALI TENA.

Pili, mimi nikiwa mfanyakazi wa maabara ya hospitali ya MT Meru, sijaona hata mgonjwa mmoja wa ukimwi aliyepata "seroconversion" yaani kurudi "seronegative from serpositive status". Kinachosikitisha ni kuwa kuna watu hawataki kabisa kusikia yanayosemwa na madaktari na wafanyakazi wa hospitali mbalimbali hapa Arusha ambao kila siku tuna-deal na watu wanaozidiwa baada ya kwenda Loliondo.

Mbaya zaidi kuna magazeti, tv na redio hayataki kabisa kusikia ukweli wa majanga yaliyowafika watu waliokwenda huko. Ajabu pia ni kuwa kuna watu ambao ukitaka kuwaeleza ukweli wanakuona wewe ni mpagani usiyemwamini Mungu. Naomba waandishi wa habari wawe proactive katika kutafuta ukweli na si kutegemea mass hysteria iliyowakumba maelfu ya watu wanaotafuta miujiza kwa nguvu."

Source: MJENGWA - Picha, Habari & Matangazo: Kama Haya Ni Ya Kweli: Tiba Ya ' Babu' Na Ushuhuda Wa Kimaabara

Poleni sana nyie ambao hamkupata nafuu, mimi nina ndugu zangu wawili mmoja alikuwa na vidonda vya tumbo vya muda mrefu, baada ya kupata hicho kikombe amepona na anaendelea kutumia vyakula ambavyo awali ilikuwa si rahisi na huu ni mwezi wa pili sasa, mwingine ni mtu wa karibu ambaye tunamfahamu kuwa ameathirika na hata kupelekwa huko Loliondo ilibidi kiombwe kibali ili apewe dawa na babu huyo bila kufuata foleni, aliporudi tulimuona mtaani akiendesha gari lake jambo lililotufanya tutake kujua nini kimetokea. sasa kama wewe huna mtu uliyemuona akipata nafuu afadhali ukae kimya kuna wengine wamepata uponyaji.
 
unaenda kumuuliza dreva taxi kama muda wa ku-operate mabasi uongezwe? unategemea jibu gani? Mimi sitaki kusikia huyu kasema ivi au yule kasema vile. Watoe evidence hapa. Mtu asimame aseme aonyeshe the before and after effect. Kama vipi...wampeleke babu mahakamani ili tupate evidence. Lakini hatuwezi kuburuzwa kama makondoo. Hii ishu ina interests kibao na hivyo ni ngumu kuweza kupata jibu kamili.

Mkuu umeongea
 
Mi nina wasi wasi na mtoa mada anainterest gani kwenye issue ya kumpinga babu?????:angry: Amejiunga ndani ya jamii forum this month on 20th, hii thread ya leo ni ya 4 na zote zinampinga Babu.... tatu zilizopita alijikita kwenye dini zaidi na kuonyesha vifungu kwenye biblia nadhani baada ya kuona watu wengi zaidi wamemponda leo amebadili style anajifanya eti yuko Mt. Meru Hospital. Ki ukweli Media man una agenda ya siri na babu siyo siri.

Mh ngoja niishie hapa narudi baadaye kidogo.....:teeth:
 
mie bado nakusanya data, nikiridhika nitatoa majibu hapa, so far a bunch of people from my place wameenda na wamerudi, hadi sasa najua walioenda mwanzo kabisa 3 wa sukari hali zao zimekuwa mbaya zaidi, mmoja karudi juzi aliyekuwa ameparalize anarukaruka akisema kuwa ni nafuu kwa maana alikuwa anajivuta so now anaruka sio kutembea kabisa,

kwa upande wangu nadhani hili jambo linatakiwa lifanyiwe uchunguzi kama kweli ni nafuu ipo, na je kama ipo ni ya kudumu au ya muda tu, na vipimo ni muhimu sana maana mtu anaweza akajiona amepona (kisaikolojia) kwa kujipa imani tu na kuogopa asiambiwe hajafuata masharti lakini vipimo vikawa bado ni +ve au kama si sukari basi haijapungua. na kwa wanaozidiwa ni vivo hivyo huenda wanazidiwa ka hofu tu. kwahiyo tusifanye ushabiki hili suala ni muhimu kwa masiha na afya za wanajamii.
 
What you fail to realize is that an infinity need not be open-ended. That you can have a closed infinity. Pi, 22/7 cannot be calculated precisely and therefore has an infinite value, but this value never reaches 3.15

Also, the fact that we don't know so much, does not guarantee that these questions will be endless. How do you know that somewhere down there we don't have a "Grand Unified Theory" ?

In addition, even if the questions are endless, indeed, if the questions are endless, this does not mean that god is validated. You can have a universe with endless questions -most probably a looping phenomena- and one that does not necessarily need a god.

Can you show me tangible proof that god exists?



Kiranga you have to understand that infinity is just a mathematical concept (it's not real). Yes you can prove it mathematically that pie can never be 3.15 there is no doubt about that but let's go back to the definition of pie.

The ratio of circle's circumference to its diameter

So far so good, now what is a circle? One definition is a polygon with an infinite number of sides. What this mean is if you take a pentagon for example and continually increase it's number of sides you'll get closer and closer to a perfect circle. Now that is a mathematical concept any one with basic math knowledge can prove it.

Now let's come to reality


In particle physics (I know you love this), when you bombard subatomic particles you'll reach a point where you get to elementary particles, quarks. In other words there is a limit. Now how come we can have an infinite number of sides where in reality there is no such a thing? Are you trying to tell me that we can infinitely divided subatomic particle? It doesn't work in reality.

We know in number theory that there are infinite number of rational numbers between two points. Now let's say you have a yard stick and you have task to subdivided it in an infinite number of pieces. You'll reach a point where you'll run out of particles to break even more. In other words the concept of infinity is not real.Unless there is something beyond our understanding, something supernatural.
 
"Hapa Arusha KILA HOSPITALI IMEPOKEA WATU WA MAGONJWA YA PRESHA, KISUKARI, PUMU, N.K. AMBAO WALIKWENDA LOLIONDO "KUTIBIWA" MARADHI HAYO NA BAADA YA KUPATA "NAFUU" (PSYCHOLOGICAL) KWA KAMA WIKI MBILI TU WAMEANZA KUUMWA SERIOUSLY NA KURUDIA DAWA ZAO ZA HOSPITALI TENA.

Pili, mimi nikiwa mfanyakazi wa maabara ya hospitali ya MT Meru, sijaona hata mgonjwa mmoja wa ukimwi aliyepata "seroconversion" yaani kurudi "seronegative from serpositive status". Kinachosikitisha ni kuwa kuna watu hawataki kabisa kusikia yanayosemwa na madaktari na wafanyakazi wa hospitali mbalimbali hapa Arusha ambao kila siku tuna-deal na watu wanaozidiwa baada ya kwenda Loliondo.


Mbaya zaidi kuna magazeti, tv na redio hayataki kabisa kusikia ukweli wa majanga yaliyowafika watu waliokwenda huko. Ajabu pia ni kuwa kuna watu ambao ukitaka kuwaeleza ukweli wanakuona wewe ni mpagani usiyemwamini Mungu. Naomba waandishi wa habari wawe proactive katika kutafuta ukweli na si kutegemea mass hysteria iliyowakumba maelfu ya watu wanaotafuta miujiza kwa nguvu."

Source: MJENGWA - Picha, Habari & Matangazo: Kama Haya Ni Ya Kweli: Tiba Ya ' Babu' Na Ushuhuda Wa Kimaabara

Kama unatoa taarifa au habari yenye ukweli na sio mipasho huandiki hivi. Unasema tu DAWAYA BABU HAITIBU au kinachofanana na hicho. Mwandishi ni ant babu na hana sababu ya mipasho maana babu sio YUSUFU Mzee wa taarabu. Loh
 
Jana nilikuwa nafikiria hivi ikiwa Watanzania tunaamini dawa ya babu inaponya na serikali inaikubali na kuibariki kwa wananchi wake. Basi babu awekwe sehemu ambayo ni rahisi kufikiwa na watanzania wengi.

Wahimize wagonjwa waliopo Mahospitalini waende na kuwawezesha kufika ili wapate kikombe wapone. Halafu bajati kwenye Sekta ya afya na madawa ipunguzwe iwekwe kwenye miradi mingine kama Umeme, Maisha yaendelee!!!

Huenda huu ni muujiza wa kutupunguzia umaskini pia.
 
"Hapa Arusha KILA HOSPITALI IMEPOKEA WATU WA MAGONJWA YA PRESHA, KISUKARI, PUMU, N.K. AMBAO WALIKWENDA LOLIONDO "KUTIBIWA" MARADHI HAYO NA BAADA YA KUPATA "NAFUU" (PSYCHOLOGICAL) KWA KAMA WIKI MBILI TU WAMEANZA KUUMWA SERIOUSLY NA KURUDIA DAWA ZAO ZA HOSPITALI TENA.

Pili, mimi nikiwa mfanyakazi wa maabara ya hospitali ya MT Meru, sijaona hata mgonjwa mmoja wa ukimwi aliyepata "seroconversion" yaani kurudi "seronegative from serpositive status". Kinachosikitisha ni kuwa kuna watu hawataki kabisa kusikia yanayosemwa na madaktari na wafanyakazi wa hospitali mbalimbali hapa Arusha ambao kila siku tuna-deal na watu wanaozidiwa baada ya kwenda Loliondo.

Mbaya zaidi kuna magazeti, tv na redio hayataki kabisa kusikia ukweli wa majanga yaliyowafika watu waliokwenda huko. Ajabu pia ni kuwa kuna watu ambao ukitaka kuwaeleza ukweli wanakuona wewe ni mpagani usiyemwamini Mungu. Naomba waandishi wa habari wawe proactive katika kutafuta ukweli na si kutegemea mass hysteria iliyowakumba maelfu ya watu wanaotafuta miujiza kwa nguvu."

Source: MJENGWA - Picha, Habari & Matangazo: Kama Haya Ni Ya Kweli: Tiba Ya ' Babu' Na Ushuhuda Wa Kimaabara

Mambo ya ngoswe muachie ngoswe mwenyewe!! haya mambo ya imani ni magumu na yanahitaji uangalifu unapoyazungumzia. Mimi binafsi nina ushahidi wa watu wawili ambao baada ya kupata hicho kikombe naona wanaendelea vizuri, kwani hata kufika huko Loliondo na kurudi hakuna aliyetegemea kuwa watarudi salama maana HIV ilikuwa imepiga vilivyo, ila wariporudi week iliyopita kesho yake nimemuona huyu mwenye HIV anaendesha pikipiki,na huyu jirani yangu aliyekuwa anasumbuliwa na tumbo amesema hali hiyo toka apate kikombe hajasikia tena sasa kama ni kwa muda huo uponyaji au la sijui ila ushahuda wangu nilioushuhudia kwa macho yangu bila kuambiwa ni huo (sitakatisha watu tamaa wala sitawahamasisha ila nilichokiona ni hicho)
 
Nauliza kwani kuna mtu anayeumwa sukari,bp,ukimwi,cancer akapewa dawa hospital akapona?si siri dawa za hospital zimegonga mwamba ktk maradhi haya!hivyo mgonjwa kila atakacho ambiwa ni dawa atakubali kuitumia
 
Jana nilikuwa nafikiria hivi ikiwa Watanzania tunaamini dawa ya babu inaponya na serikali inaikubali na kuibariki kwa wananchi wake. Basi babu awekwe sehemu ambayo ni rahisi kufikiwa na watanzania wengi.

Wahimize wagonjwa waliopo Mahospitalini waende na kuwawezesha kufika ili wapate kikombe wapone. Halafu bajati kwenye Sekta ya afya na madawa ipunguzwe iwekwe kwenye miradi mingine kama Umeme, Maisha yaendelee!!!

Huenda huu ni muujiza wa kutupunguzia umaskini pia.

mawazo yako ni mazuri - issue ni kuwa BABU KAPEWA MASHARTI - NA MOJAWAPO NI:

" Atoe dawa hapo hapo LOLIONDO"

jaribu kumshauri mawazo yako mazuri kama atakubali!!!!:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
 
Join Date : 20th March 2011
Posts : 63
Thanks 3 Thanked 75 Times in 34 Posts

Rep Power : 21

atakuwa kakobe au mwingira
 
"Hapa Arusha KILA HOSPITALI IMEPOKEA WATU WA MAGONJWA YA PRESHA, KISUKARI, PUMU, N.K. AMBAO WALIKWENDA LOLIONDO "KUTIBIWA" MARADHI HAYO NA BAADA YA KUPATA "NAFUU" (PSYCHOLOGICAL) KWA KAMA WIKI MBILI TU WAMEANZA KUUMWA SERIOUSLY NA KURUDIA DAWA ZAO ZA HOSPITALI TENA.

Pili, mimi nikiwa mfanyakazi wa maabara ya hospitali ya MT Meru, sijaona hata mgonjwa mmoja wa ukimwi aliyepata "seroconversion" yaani kurudi "seronegative from serpositive status". Kinachosikitisha ni kuwa kuna watu hawataki kabisa kusikia yanayosemwa na madaktari na wafanyakazi wa hospitali mbalimbali hapa Arusha ambao kila siku tuna-deal na watu wanaozidiwa baada ya kwenda Loliondo.


Mbaya zaidi kuna magazeti, tv na redio hayataki kabisa kusikia ukweli wa majanga yaliyowafika watu waliokwenda huko. Ajabu pia ni kuwa kuna watu ambao ukitaka kuwaeleza ukweli wanakuona wewe ni mpagani usiyemwamini Mungu. Naomba waandishi wa habari wawe proactive katika kutafuta ukweli na si kutegemea mass hysteria iliyowakumba maelfu ya watu wanaotafuta miujiza kwa nguvu."

Source: MJENGWA - Picha, Habari & Matangazo: Kama Haya Ni Ya Kweli: Tiba Ya ' Babu' Na Ushuhuda Wa Kimaabara

Mkuu! Post yako ya kwanza ilikuwa inasema BABU WA LOLIONDO ANATUMIWA NA SHETANI. Leo hii unakuja na hii BABU AVULIWA NGUO. Na ulijatambulisha wewe ni mtumishi wa Mungu na unalijua neno lake vizuri, but according to your posts hasa hizi mbili nimegundua una wivu na unapenda sana chuki baada ya kuja na hoja zako za kiroho kuhusu babu kushindwa kufua dafu sasa umekuja na umbea na post hii. Ulikuja kiroho sasa umekuja kisayansi dah! Ndugu unatisha mbona wakenya wametoa ushuhuda wao mzuri juu ya tiba za babu? Nina wasiwasi na wewe. Mtafakari Mungu tena halafu utubu lasivyo utakufa na kijiba cha roho.
 
Huo ndio ukweli ambao baadhi ya WATANZANIA hawataki kuusikia, na ukisemwa wanatamani kupasuka kwa ghadhabu.
Nitaendelea kusimama upande nilioko, na ni heri niwe mjinga kusubiri kuliko kuwa mjanja wa kujiwahishia matatizo. Ni heri kuchelewa katika giza kuliko kuwahi katika mwanga uliotokeza ghafla! (maana yaweza kuwa radi)
Nimechangia na kuanzisha mada kadhaa, nikiwaambia ndugu zangu WATANZANIA, Tuache KWENDA NA FUNUNU! Kwa maana sasa kila FUNUNU inayokuja TUNAIKIMBILIA... Hakuna anaetazama matokeo ya mwisho ya fununu hizo. Ndipo nikasema TUNAUMWA MAFUNUNU!

Naomba niungane nanyi,natambua kwa imani yangu kuna Mungu,ila nachelea kuamini uponyaji huu wa babu...najipa bado muda mrefu kidogo kuona matokeo ya hao waliokwenda kwa babu na kusema wamepona,muda wa kutosha kuthibitisha hilo kuona wanaendela vizuri na vipimo vyote vya kisayansi kuonyesha wako ok...Baada ya hapo nitakuwa nimepata uamuzi wapi pa kusimama upande wa babu au upande tofauti na babu,kifupi bado siamini uponyaji huu.
 
Huo ndio ukweli ambao baadhi ya WATANZANIA hawataki kuusikia, na ukisemwa wanatamani kupasuka kwa ghadhabu.
Nitaendelea kusimama upande nilioko, na ni heri niwe mjinga kusubiri kuliko kuwa mjanja wa kujiwahishia matatizo. Ni heri kuchelewa katika giza kuliko kuwahi katika mwanga uliotokeza ghafla! (maana yaweza kuwa radi)
Nimechangia na kuanzisha mada kadhaa, nikiwaambia ndugu zangu WATANZANIA, Tuache KWENDA NA FUNUNU! Kwa maana sasa kila FUNUNU inayokuja TUNAIKIMBILIA... Hakuna anaetazama matokeo ya mwisho ya fununu hizo. Ndipo nikasema TUNAUMWA MAFUNUNU!
Asante sana, kweli jf kisima cha wataalam
 
I suspected as much.

Wanasema dawa ya babu ni ya ki-imani zaidi, hivyo hatuwezi kuifanyia scientific assessment. Jamani, ukiwa na imani haimaanishi kufuata kila kitu bila kufanya uchunguzi wowote!

Sasa sikiliza hao waliozidiwa baada ya kutoka Loliondo wataambiwaje: "Hukuwa na imani", "Ulikosea masharti" etc etc

Lakini hii fiasco ya babu inaonyesha wazi mambo mawili: 1. Watanzania wengi ni wagonjwa 2. Hawajapata elimu ya afya ya kutosha kuhusu magonjwa yao. It is a challenge to the health system.
 
Mimi nina mashaka makubwa na hicho kikombe cha babu kwa misingi ya kiimani ( samahani kwa watakaokwazika).Katika imani katoliki sala zina nguvu ya kuvunja miamba. Tumeshuhudia kwa kuona na kusikia pia kusoma jinsi mchakato anaoupitia mtu ambaye anataka kutangazwa mwenye heri au mtakatifu. Inabidi mgonjwa ambaye amethibitika hospitalini kuumwa ugonjwa ambao madaktari wameshindwa kumtibu, aponywe na Mungu kwa maombezi ya huyu mtu aliyekwisha aga dunia. Na hii inafanyika kwa levels mbili(kwa ajili ya kuitwa mwenye heri na pia level 2 kuitwa mtakatifu) Mungu hutoa majibu ili kudhihirisha kuwa huyo marehemu yuko kwake mbinguni au la. Hawa wagonjwa Mungu anawaponya bila kunywa miti shamba iliyochemshwa.
Pili, nina ushuhuda wa maji ya baraka ya Huduma za maombezi riverside ubungo kuletwa na Mungu kwa maana ya kuwa na baraka za pekee ( Yana damu na maji toka ubavuni kwa Bwana Yesu na machozi ya Mama Bikira Maria yanayoponya na kutakasa). Hivyo ninayoamini ni kuwa Mungu hajipingi; hawezi kuleta hiki watu watumie ili wapone halafu alete kitu kingine tena cha kwenda kuchuma na kuchemsha halafu agawe mwenyewe tu!. Hata dawa za kisayansi zinagunduliwa kwa uwezo wa Mungu na zinakuwa mass produced. Hapa ni kupeana umasikini tu na si ajabu vifo maana nimeshasikia watu wengi kufa aidha wakati wanaenda au wanapokuwa wametoka Loliondo.
Kinachofanyika sasa ni kuwa hakuna toba! Kunywa kikombe cha babu utapona! uongo ulioje!
Ni heri wagonjwa wangeendelea na dawa za hospitali ila tufikirie kama taifa njia nzuri ya kuomba huruma ya Mungu aponye maradhi yetu yote.:frown:
Sina nia ya kuzua mjadala ila tuzidi kumuomba Mungu na kungoja na kuona matokeo.
 
Ukitaka kujua kama Mungu yupo au la ni hapo utakaponipa maelezo sisi wanadamu tumetokeaje hapa ulimwenguni na hasa mwanadamu wa kwanza kabisa na je unaweza kuepuka kifo? why do we die?
 
Hata mimi nimejaribu kukufuatilia kwa umakini mkubwa sana hapa ndugu au jamaa yangu kuhusu hizi post zako, umeeanza kama moto wa kifuu katika post zako lakini bado uko kapa! gear uliyoingilia nayo ya kuwashawishi watu wafuate unayoyataka wewe mkubwa sahau halafu thready yako ya sasa umetuambia kuwa wewe ni mfanyakazi wa maabara hospitali ya Mt.Meru jijini Arusha ngoja nakufanyia kazi ili nikutane na wewe kwakua hata mimi niko jijini Arusha! :A S angry:
 
Back
Top Bottom