Hatimaye mch. mstaafu mzee Mwasapile ameungana na mbunge wa Igunga Bwana Rostam Aziz kwa kuwataka wagonjwa wanaopata tiba ya "kikombe" kuendeleana dawa za hospitali kama kawaida.
Hili limejitokeza wiki chache baada ya mbunge wa Igunga Rostam Aziz kuwataka wapiga kura wake wasibweteke na dawa za BABU na badala yake waendelee kutumia dozi ya hospitali, na kutoa ushuhuda kuwa ndugu zake watano wametumia "KIKOMBE" na bado wanaendelea kusumbuliwa na kisukari.
CHANZO: gazeti la Mwananchi
Hili limejitokeza wiki chache baada ya mbunge wa Igunga Rostam Aziz kuwataka wapiga kura wake wasibweteke na dawa za BABU na badala yake waendelee kutumia dozi ya hospitali, na kutoa ushuhuda kuwa ndugu zake watano wametumia "KIKOMBE" na bado wanaendelea kusumbuliwa na kisukari.
CHANZO: gazeti la Mwananchi