Babe, I am afraid this was never meant to be...

Babe, I am afraid this was never meant to be...

Hahahahaha
Ukisoma kwa makini kuna funga na fungua semi...
Mwanzo kabisaa na mwisho, mie nilijua anamfariji mleta mada kama tulivyofanya ila kaja kwa namna yake!

Matokeo ya shule za kata na lugha iliyotumika labda. Mimi sikuelewa kabisa na hata sasa sijaelewa. But again haya ni mambo ya watu tuyaache tu yalivyo...
 
Hahahahaha
Ukisoma kwa makini kuna funga na fungua semi...
Mwanzo kabisaa na mwisho, mie nilijua anamfariji mleta mada kama tulivyofanya ila kaja kwa namna yake!
Mimi nlikuwa najua wewe ni mwanamke makini, Leo hii nadhidi kuthibitisha kwamba wewe ni mmoja wa wanawake makini sana hapa jukwaani.

Tena angalia na statement yangu ya mwisho ile nliyomuuliza does this heal?? Utaiona ipo nje ya funga na fungua semi. I know you know why.
 
Mimi nlikuwa najua wewe ni mwanamke makini, Leo hii nadhidi kuthibitisha kwamba wewe ni mmoja wa wanawake makini sana hapa jukwaani.

Tena angalia na statement yangu ya mwisho ile nliyomuuliza does this heal?? Utaiona ipo nje ya funga na fungua semi. I know you know why.

Mnanifurahisha sana aisee. JF hapa kweli unategemea watu wasome kwa makini tena Kiingereza; na wazingatie alama za funga na fungua semi? Kwa muda na elimu ipi? Watu tunajua hata hizo alama zinatumikaje na zinabadilije maana?
 
Mimi nlikuwa najua wewe ni mwanamke makini, Leo hii nadhidi kuthibitisha kwamba wewe ni mmoja wa wanawake makini sana hapa jukwaani.

Tena angalia na statement yangu ya mwisho ile nliyomuuliza does this heal?? Utaiona ipo nje ya funga na fungua semi. I know you know why.
Nimeyaona mkuu ndo maana sikupata tabu kujua wewe ni kama sisi tuu! Tunamtia moyo bibie!

Lengo lako lilikuwa jema kabisaa!
 
Mnanifurahisha sana aisee. JF hapa kweli unategemea watu wasome kwa makini tena Kiingereza; na wazingatie alama za funga na fungua semi? Kwa muda na elimu ipi? Watu tunajua hata hizo alama zinatumikaje na zinabadilije maana?

Kaka hurumia mbavu zanguu akiii...

Siku nyingine utulie usome, acha uvivu
 
Nimemuelewa vizuri sasa, na kauvaa uhusika hasa!! Loh' wewe Relief usirudie nini unakuwa kama yeye bwana!! 😀
Nsirudie nini tena??

I felt for you and I thought may be I could do something, but believe me that msg has so much of a message hidden. There is one person in here, who will come and open it up
 
Nsirudie nini tena??

I felt for you and I thought may be I could do something, but believe me that msg has so much of a message hidden. There is one person in here, who will come and open it up
Nimekuelewa vizuri Relief, and thanks so much for your concern..!!
Who is that person??
 
Hahaha! Sitaki uchokozi halafu Atoto,
Kweli mapenzi nyokoo, unaempenda walaaa hana habari usompenda anavyohangaika na wewe sasa
Ila ombea tu feelings ziwe mutual, walah utahisi dunia yote yako peke yako.

Tulia mama as long as umelitoa najua moyo kwatuuuu na umepata relief. Just move on unastahili kilicho borà kama wewe ulivyo bora. Now naelewa hata ile thread yako.
 
It seems u are a such a voluptuous lady who deserve so many compliments and yet u are here grovelling upon the man who doesn't know how worth u are....

Either u vaguely or u were just amusing us but in anyhow u don't deserve to be down..

Don't be vindictive just forgive and move on with ur life.....

Rejoice and celebrate this life that the Almighty has given us....

Life is too short my dear be happy and enjoy the life to the fullest...
thank you so so much, I am so blessed by this Mnazareth .!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom