Babe, I am afraid this was never meant to be...

Babe, I am afraid this was never meant to be...

Acha kuhangaika na wakata tamaa walokariri maisha.
We jamaa bana. Sina mke by the way ila hata kama ningekuwa naye akiloa/asipoloa wewe inakuongezea au kukupunguzia nini kamanda?

Ngoja tusiharibu uzi wa watu kwa sababu inavyoonekana unatafuta shari tuanze kutukanana mwishowe tulimwe ban. Sitakujibu tena
 
Kuna msichana mmoja wakati nikiwa broke aliwahi kuniletea swaga kama hizo za pigo loko.

Mambo yalivyo change akaishia tu kusema nimsamehe mara oooo mbona siku hizi G umebadilika. Nikwambia sikiliza wewe binti, mimi sijabadilika ila wewe ndiye uliyebadilika.
 

Mortdecai pita na huku kamanda utoe lako la moyoni

Mbuzi kafia kwa muuza supu.
 
It seems u are a such a voluptuous lady who deserve so many compliments and yet u are here grovelling upon the man who doesn't know how worth u are....

Either u vaguely or u were just amusing us but in anyhow u don't deserve to be down..

Don't be vindictive just forgive and move on with ur life.....

Rejoice and celebrate this life that the Almighty has given us....

Life is too short my dear be happy and enjoy the life to the fullest...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom