Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Thaaaats rightAhsante sana mama aqe, this has been treasured..
Life will never be fair in love and war.!
Thaaaats rightAhsante sana mama aqe, this has been treasured..
Life will never be fair in love and war.!
Ahsante sana mama aqe, this has been treasured..
Life will never be fair in love and war.!
Pakukaza ni kwako, siyo huku.
Siku nikipata nguvu na muda nitakuja kujitetea kwako, and it will be a tie!
Ahsanteee 😀😀😀😀😀
Polee
Mchumba bado unanitaka kumbe?
That should be a statement, nimeacha uruke uruke huko ukichoka uje tutulie.
Kama unategemea matumizi ya alama za kufungua na kufunga semi kama chombo muhimu cha kufikishia ujumbe wako kwa kweli haya manyaunyau na yaendelee tu kukukumba kwa sababu hakuna namnaNdio maana sikutaka kuandika chochote from the first place. Yashanitokeaga haya manyaunyau before.



Mkuu unaniombea njaa???Kama unategemea matumizi ya alama za kufungua na kufunga semi kama chombo muhimu cha kufikishia ujumbe wako kwa kweli haya manyaunyau na yaendelee tu kukukumba kwa sababu hakuna namna![]()
Hamna bana hata ule mstari wa mwisho hukuuona kaka au umeamua kuwa kabishi tuuKama unategemea matumizi ya alama za kufungua na kufunga semi kama chombo muhimu cha kufikishia ujumbe wako kwa kweli haya manyaunyau na yaendelee tu kukukumba kwa sababu hakuna namna![]()
HaswaaKwahiyo kufuli uliloweka ni urembo tu ?
So you can cry and cry even more,Well, I love the song and the message.!!
Duh! Nilikua nataka nije pande izoAsante mchumba. Karibu Kidimbwi tulipe kodi
Asante mchumba. Karibu Kidimbwi tulipe kodi
KaribuuuHaswaa
Siku hizi nimepunguza sana hizo kitu, natafuta formula mpya, kichwa kinanipelekesha sana nikinywa kizembe zembe.
Duh! Nilikua nataka nije pande izo
Pole sana. Mwenyewe saa tano narudi kulala
AhsanteKaribuuu