- Thread starter
- #21
Najua kuwa kwenye familia yetu kuna watu wachache wenye majibu mazuri ifikapo Oct, 2010. Basi sasa twendeni kwa ndugu zetu wengine na tuwaambie kuwa baba yetu hamfai mama. Tuna sababu nyingi, si ushirikina tu bali hata tabia yake ya kumtelekeza mama na kwenda kuponda raha kwenye familia nyingine zilizo bora kuliko ya kwetu.
Nasikia mwewe wake amegoma kuruka huko mbali baada ya kuona vumbi jingi angani!!!! Sijui tatizo ni vumbi ama hicho ni kigezo cha kula bata ugenini???
Nasikia mwewe wake amegoma kuruka huko mbali baada ya kuona vumbi jingi angani!!!! Sijui tatizo ni vumbi ama hicho ni kigezo cha kula bata ugenini???