Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
We mzoefu wa kusema uongo. Tafadhali acha kutupotezea mudaMara ya kwanza christmas alikuwa amelewa amerud nyumban ucku akanfata chumban akanifanyia kwa lazima mama hakuwepo nilibak na wadogo zng, aliponifanyia hivo akawa anakimbia kama akibaki nyumban anabaki room anatoka kdogo anarud room
aliporud mama mimi nikamwambia mama nataka nihamie hostel niwe narud nyumban holidays na cku 1 weekend mama alikubal baba akakataa nikanyamaza ckumwambia mama. Yeye haendagi kazin j2 jana ameenda amesahau files nyumban amemwambia mama nimpelekee nimefka amenikamata kwa nguvu akanibaka tena
Leo asubuh ametupeleka shule kama akatupeleka shule ananza kunishusha mm alafu anawapeleka wadogo zangu leo ameanza kuwashusha wao halafu akanipeleka mm. Ameongea nicmwambie mama au mtu mwingine nikiwa nashuka ananiambia nimkiss mdomo
Nataka nimwambie mama naogopa nikikaa nisimwambie atanifanya tena nimeanza kumuogopa hata nkickia saut yake na naogopa kumwambia mama nataman nipotee niende mbali lakin cwez
pole sana, kama story ni ya kweli.Mara ya kwanza christmas alikuwa amelewa amerud nyumban ucku akanfata chumban akanifanyia kwa lazima mama hakuwepo nilibak na wadogo zng, aliponifanyia hivo akawa anakimbia kama akibaki nyumban anabaki room anatoka kdogo anarud room
aliporud mama mimi nikamwambia mama nataka nihamie hostel niwe narud nyumban holidays na cku 1 weekend mama alikubal baba akakataa nikanyamaza ckumwambia mama. Yeye haendagi kazin j2 jana ameenda amesahau files nyumban amemwambia mama nimpelekee nimefka amenikamata kwa nguvu akanibaka tena
Leo asubuh ametupeleka shule kama akatupeleka shule ananza kunishusha mm alafu anawapeleka wadogo zangu leo ameanza kuwashusha wao halafu akanipeleka mm. Ameongea nicmwambie mama au mtu mwingine nikiwa nashuka ananiambia nimkiss mdomo
Nataka nimwambie mama naogopa nikikaa nisimwambie atanifanya tena nimeanza kumuogopa hata nkickia saut yake na naogopa kumwambia mama nataman nipotee niende mbali lakin cwez
Vick binti yangu ndo umeamua kunitangaza huku??Mara ya kwanza christmas alikuwa amelewa amerud nyumban ucku akanfata chumban akanifanyia kwa lazima mama hakuwepo nilibak na wadogo zng, aliponifanyia hivo akawa anakimbia kama akibaki nyumban anabaki room anatoka kdogo anarud room
aliporud mama mimi nikamwambia mama nataka nihamie hostel niwe narud nyumban holidays na cku 1 weekend mama alikubal baba akakataa nikanyamaza ckumwambia mama. Yeye haendagi kazin j2 jana ameenda amesahau files nyumban amemwambia mama nimpelekee nimefka amenikamata kwa nguvu akanibaka tena
Leo asubuh ametupeleka shule kama akatupeleka shule ananza kunishusha mm alafu anawapeleka wadogo zangu leo ameanza kuwashusha wao halafu akanipeleka mm. Ameongea nicmwambie mama au mtu mwingine nikiwa nashuka ananiambia nimkiss mdomo
Nataka nimwambie mama naogopa nikikaa nisimwambie atanifanya tena nimeanza kumuogopa hata nkickia saut yake na naogopa kumwambia mama nataman nipotee niende mbali lakin cwez
Ila huyu threads zake nyingi sizielewi, hapa chini ni baadhi ya threads zake:Pole sana usikae kimya nimesikia uchungu sana. Mwambie mama bila kusita na pia ukapimwe kama hajakutia ujauzito au kukuambukiza magonjwa. Huyu hana hadhi ya kuitwa baba. Nakuomba sana usiendelee kukaa kimya.
Mi naona humu siku hizi hakuna maana, kw nini mtu anaamua kuandika andika tu ili watu wachangie madudu yake, bahati nzuri watu wanakumbukumbu si mchezo, ukitaka kuongopa humu ndani inabidi ujipange
Mhuni tuu huyu hana loloteeNaona thread yake nyingine hii hapa:
Kwanini nikimaliza sex tumbo linauma?
Mhuni tuu huyu hana lolotee
Mi naona bora humu ndani tuwe na kijisheria chetu, mtu km huyu tunampotezra tuMhuni tuu huyu hana lolotee
Yani kubaka abake baba yake;afu kutafunwa na dhambi atafunwe yeye?Aisee naona hii kanuni mpya ya kiroho.mmh yaani mambo kama haya ndio yanayonifanyaga nakuwa sio mwl tena.
ukisoma mabandiko yake ya nyuma its like baba yake alianza kumtafuta huyu binti kimapenzi thru hizo text alizokuwa anakosea kumtumia. istoshe huyu nadhani ni mtoto mdogo sana ambaye na mwenyewe akili yake haina akili.
huyu binti yuko desperate ana anahitaji msaada wa kisaikolojia. aende kwa washsauri nasaha ili akapate msaada.
ila kama umebakwa na baba yako jua hiyo dhambi na itakutafuna unless umetubu sana
Attention seeker tu halafu alivo wa ajabu akisha post ka uzi kake asepa atuacha siye tuna bishana hapaa weee!! Yeye ana tucheki tu, inatakiwa akitoa uzi wake tuna mkaushia tuIla huyu threads zake nyingi sizielewi, hapa chini ni baadhi ya threads zake:
1. Kwanini wababa wa Tanzania hawapo karibu kulea watoto wao wa kike?
2. Mzazi kama huyu unamfanyaje?
3. Baba yangu hanipendi kwasababu ya tabia zangu
4. Wanaume wa Tanzania hawajui kutongoza
5. Kwa nini wanaume wa Tanzania wapo hivi?
6. Je ni umri gani unaofaa kuanza kufanya mapenzi
7. Mwalimu wa kemia ananitaka kimapenzi
Umesema kweli bob nyuzi zake hata zisi tuumize vichwaMi naona bora humu ndani tuwe na kijisheria chetu, mtu km huyu tunampotezra tu
Hata hivyo ni laana kubwa, kama baba hafanyi hivyo na yeye ametuma huu uzi, ni utovu wa nidhamu wa hali ya juu! Ewe Mwenyezi Mungu angalia kizazi chako cha miaka hii!Attention seeker tu halafu alivo wa ajabu akisha post ka uzi kake asepa atuacha siye tuna bishana hapaa weee!! Yeye ana tucheki tu, inatakiwa akitoa uzi wake tuna mkaushia tu
laiti ungelijua kuwa dhambi hupatiliza usingesema hivyo.Yani kubaka abake baba yake;afu kutafunwa na dhambi atafunwe yeye?Aisee naona hii kanuni mpya ya kiroho.
Neno linasema..."na baba hatobeba tena msalaba wa mwanaye na wala mwana hatobeba tena msalaba wa wazazi wake".laiti ungelijua kuwa dhambi hupatiliza usingesema hivyo.
Mungu hupatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne na yeye hurehem maelfu elfu wampendao na kuzishika amri zake.
Kila dhambi aitendayo ancestor wako ni laana kwako na wanao. unless utubu na ujitenge na uovu huo.
Mungu akupe neema uelewe ni kwajinsi gani dhambi ya mzazi kumchafua mtoto
HahahaaEwe Mwenyezi Mungu angalia kizazi chako cha miaka hii!
Naona upo agano la kale....laiti ungelijua kuwa dhambi hupatiliza usingesema hivyo.
Mungu hupatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne na yeye hurehem maelfu elfu wampendao na kuzishika amri zake.
Kila dhambi aitendayo ancestor wako ni laana kwako na wanao. unless utubu na ujitenge na uovu huo.
Mungu akupe neema uelewe ni kwajinsi gani dhambi ya mzazi kumchafua mtoto