Kwa uandishi wa m2 najua uko sekondari. Pole sana mdogo wangu lakini nenda ka mripoti polisi kama waogopa kumwambia mama yako. Mwisho wa siku atakujaza tumbo na utakuwa laana zaidi ya hapo. Maana uwezo wa kuzuia yote hayo unayo
Vibinti vya namna hii ndiyo utamani baba zao usikute huyu binti anamtamani kimapenzi xxx baba yake kwa kuwa ikiwa hii habari siyakweli lazima huyu Dada atakuwa yeye ndo anamtaka babayake
Wewe acha zako ulipenda mwenyewe ukizingatia ni msichana unaejitambua ulishindwa nini kuripoti kwenye vyombo vya sheria au kumpigia mama yako simu na kumwambia kilichotokea, Acha upuuzi ulipenda kabisaaaaaaaaa tena mwenyewe.
Ndo maana nimejikuta nikisoma m.boo inanisimama tu hata huruma juu yake ilikuwa haiji. Kumbe jitu limetunga stori bana. Daah kumbe na mimi nina tisha kama usalama vile
Una umri gani hadi baba akubake?wababa huwa wanabaka watoto wadogo wasiojuwa kujilinda,sasa wewe baba afike chumbani kwako akuvue ,aliweke ndani na wewe ukae kimya tu!!!! SIYAAMINI MANENO YAKHO.
Muongo mkubwa, unasoma tena unaonekana ni mdogo wa kupelekwa shule, na una wadogo nao wanasoma, unamiliki smartphone na acc. Jf. Mama ako aondoke awaache watoto mpaka usiku, hivi wewe akili zako zote zipo kweli!
Hadithi za kusadikika hizi
USHAURI KWAKO KAMA NI BINTI HEBU TUHESHIMU BABA ZAKO HAKUNA MZAZI ANAEWEZA KUFANYA UPUUZI KAMA HUO
NA
HUMU JF TUSICHEKELEE UJINGA KAMA HUU
hawa watoto hawajui walitendalo
Hapana mkuu huyu binti kwanini mnamshambulia? Mimi naamini kuwa huyu baba yake alijaribu kumtisha ili aweze kufanya hayo anayomfanyia, anahitaji kushauriwa vizuri huyu binti msimjie juu tafadhali.
Hapana mimi nimesoma some of the threads ambazo mnaziquestion, mbona ziko sawa tu. Mtoto wa kike lazima apende kujaliwa na baba yake, sasa kama baba anajidai hamjali ni lazima ajiulize ni kawaida. Huyu binti asaidiwe jamani. Tumshauri vizuri tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.