Baba yangu huwa ananibaka

Baba yangu huwa ananibaka

Sijasoma hizo thread nyingine ila najaribu kuwaza...kama kweli wako nje ya nchi, kitendo cha kumripoti mshua maana yake ni kurudishwa Bongo na Bongo kwa sifa hiyo asahau kupata kazi nyingine (labda wamuonee huruma wamrudishe kimya kimya) na hiyo itamaanisha maisha magumu kwa watoto...nawaza tu!

Ila kama thread zake za nyuma zimekaa kimagumashi basi potezea hili wazo langu.

Cc: BAK


Huyu binti anahitaji msaada wa haraka katika maisha yake, hata tukiacha na ya topic ya leo.
 
Huyo n baba yk mzazi au n wa kufikiaa maana daaaa..polee cha msingi mwambiee mama tuu maana unakoelekeaa nikupewa mimbaa tu na huyo mzee wakoo ..poleee aisee ndugu
 
Usicheze na baba huyo ni mwakilishi wa Mungu duniani...kama uasingizia utaaibika. Kama kweli basi mwambie mama akupeleke polisi sheria ichukue mkondo.
 
Inawezekana mama yako alimsaliti baba yako akakuzaa ww na sasa huyo baba ndio analipiza kisas kwa kukugegeda maana si mtoto wake
 
Ooohh my God.... Pole sana sana. Ila kukaa kimya utajiharibia mwenyewe unaweza kupata mimba, na magonjwa. Huna haja ya kumuogopa uyu sio baba mwenye sifa kabisa... Ongea na mama ajue yote vinginevyo utaaribu malengo yako, h
 
mara ya kwnza christmas alikua amelewa amerud nyumban ucku akanfata chumban akanfanyia kwa lazma mama hakuepo nlibak na wadogo zng, aliponfanyia ivo akawa anakimbia km akibaki nyumban anabaki room antoka kdogo anarud room alporud mama akawa anaendelea kukimbia atoki room km akiwa nyumban. mi nkamwambia mama nataka nhamie hostel niwe narud nyumban holidays na cku 1 weekend mama alkubal baba akakataa nkanyamaza ckumwambia mama. aendagi kazin j2 jana ameenda amesahau files nymban amemwambia mama nmpelekee nmefka amenkamata kwa nguvu akanbaka tena leo asubuh ametupeleka shule km aktupeleka shule ananza kunshusha mm alafu anawapeleka wadogo zng leo ameanza kuwashusha wao alafu akanpeleka mm ameongea nicmwambie mama au m2 mwngne nkiwa nashuka ananiambia nimkiss mdomo nataka nimwambie mama naogopa nkikaa nicmwambie atanfanya tena nmeanza kumuogopa hta nkickia saut yk na naogopa kumwambia mama ntaman npotee niende mbal lakn cwez
hujaanza kunogewa tu wewe??
 
mmh kama ni kweli ni hatari sana, hutakiwi kunyamaza, lazima mama yako ajue, na mama yako ana makosa ya kuweka ukuta mkubwa sana kati yake na wewe in such a way unamuogopa kiasi hicho, alitakiwa kuwa kama rafiki kwako
 
Mwambie mama haraka sana dadangu tena fanya haraka kabla sijachukia huu ndio uamuzi sahihi imenisikitisha sana upo wapi
 
Back
Top Bottom