MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,289
- 2,348
Afadhali wewe hata umesomeshwa na Baba yako na anatambua uwepo wako.
Tafuta maisha yako Bro, wajibika kwa maisha yako ya mbeleni.
Tafuta maisha yako Bro, wajibika kwa maisha yako ya mbeleni.
Haswaa dadaKuanza kumtafakari mtu kwa nini hajafanya kitu fulani tena kwa miaka chungu tele huko kwangu naona ni kama unajichosha.
Kwa kuwa kama unavyosema amekusomesha basi itumie hiyo elimu kutokuishi kama yeye alivyoishi.
Acha kumdanganya mwenzakomchunguze huyo ni afisa usalama wa taifa
Baba Ake angetumia mche wa kanga au komesha sasa tusiona hii hoja sasa ivshukuru hakupiga PUNYETO....akutupilie mbali.....
DuuuuhNdiyo alirogwa. Hata wewe tayari umeisharogwa ndiyo maana unayatangaza madhaifu ya babako.
Kivipi apo?Mzee bado anajitafuta