Baba yake rafiki yangu anamtaka kimapenzi

Baba yake rafiki yangu anamtaka kimapenzi

Biblia inasema ikimbieni TAMAA YA MWILI.

Yesu alisema yule ambaye hajatenda maovu, awe wa kwanza amutupie mwanamke aliyezini. Wote waliobeba mawe kutaka kumtupia huyu mwanamke waliweka mawe yao chini, kwa kuwa kati yetu Hakuna mtu hajatenda zambi.
 
Rais ameamuwa watoto wote wanaopata mimba wafukuzwe. Yeye hawezi kusomesha wazazi. Haya kesi kama hizi, baba wanataka kutembea na watoto wao. Haki iko wapi. HUYU Rais wetu ana utu kweli?

Sa we umeandika nini. Je zamani wazazi walikuwa wanasomeshwa. Muandikege mkishatoka chooni. Pumbavu
 
Tatizo si mavazi, tatizo ni hijab (kujistiri) na stara huwa haipo kwenye mavazi tu, stara ni matendo yako ya ndani na nje ya mwili wako, ya ndani na nje ya kwenu.

Hayo huwezi kuyaelewa kama hujajikita katika Uislam, utakuja na porojo ndefu ukidhani kuwa u magharibi ni mavazi pekee. U magharibi si mavazi, u magharibi ni namna ya kuishi maisha yako ya kila siku.

Ulimsikia nani akavaa niqab mbele ya ahli zake majumbani kwao?

Niqab unaweza kuvaa ili ukatendee dhambi kwa kuwa huonekani. Kama u polisi utaelewa kuwa hata majambazi huvaa niqab (hood) wakafanya ujambazi wasijukane. Kumbuka hilo.

Uislam ni mfumo mzima wa maisha "summed up" katika kumuabudu Allah. Mafunzo ya Kiislam yanakufundisha kuwa hujaja duniani isipokuwa kuabudu. Mwenye kuabudu huvishwa hijab "within his/her innerself".

Ukiyaelewa hayo hutapata shida.
kama ushaanza kufunga sittatul shawali leo ntakufturishaaaa,,,... point hyo
 
Kwani huko uliko hakuna viongozi wa kidini au hakuna kituo cha polisi kilicho karibu yako?

Huyo binti bado yupo chini ya uangalizi wa wizara ya elimu..... Akibakwa wizara ya ulinzi itachukua nafasi yake....

Nenda kariport kwenye mamlaka husika kabla tatizo halijawa kubwa misho wa siku usije ukasema "Kama ningejua"
 
Mzee mmoja anamtaka binti yake kimapenzi mwaka wa tatu mfululizo na amejaribu kumbaka Mara kadhaa mpaka anataka kuhama kwao. Bado anasoma na anahitaji ushauri now yupo kidato cha sita.

Jamani hivi nini kinasababisha mzazi kumtaka mwanae jamani?


Usihofu bibie, kama baba yako anataka kukubaka nitafute nije nikuchukue.
 
Logic ya mtoto ni kuwa, huyo ndo anamlipia ada na chakula na all her basi needs ndiyo maana inamuwia ngumu kumsemea.

Wakati niko polisi hizi issue zilikuwa sana, yani binti kapewa mimba na mjomba au hata baba yake mzazi/kambo ila yupo tayari kwa lolote ila asimtaje maana anajua akienda ndani na yeye future yake inayumba (mara nyingi wanakuwa walishawatishia hivyo, ikiwamo na kuwatishia kuwaua). Kwa mtoto maneno na vitisho hivyo viko deep kuliko tunavyotaka kuamini sisi wenyewe (I mean kama mtu mzima ni rahisi kupuuza na kuona anapenda mwenyewe nk).

Nadhani serikali iko bize kuwafunga wakosaji na sio kuwahudumia wahanga wa haya mambo ndiyo maana hayaishi. Wizara husika iwezeshwe kifedha na iandae mfumo mzuri wa kuhakikisha mabinti hawa wanapata maisha baada ya abusers wao kufungwa.

My 5 cent.
Kwa tamko la mwenye nyumba kuhusu mimba za wanafunzi ndio kiama chao kimetangazwa rasmi.
 
Nawewe upo form six???
Good newz. ukimaliza uje nikupe zawadi

Anyway hilo Ni tatizo kubwa, mwambie akaripoti kwa viongozi wake dini, polisi au hata kwa majirani juu ya hilo.
Utampa zawadi gani!??
 
Hata mimi hutamani kukubakeni huku nje. Mavazi mnayovaa mnatutia maradhi ya moyo. Mnatufanya kama paka wa sokoni.[emoji226] [emoji250] [emoji38] [emoji38] [emoji111]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji85]
 
Mwambie huyo binti kama yupo dar ahamie kwangu mpaka atakapomaliza masomo, hata kama ni university. Ani PM
 
meonge
Logic ya mtoto ni kuwa, huyo ndo anamlipia ada na chakula na all her basi needs ndiyo maana inamuwia ngumu kumsemea.

Wakati niko polisi hizi issue zilikuwa sana, yani binti kapewa mimba na mjomba au hata baba yake mzazi/kambo ila yupo tayari kwa lolote ila asimtaje maana anajua akienda ndani na yeye future yake inayumba (mara nyingi wanakuwa walishawatishia hivyo, ikiwamo na kuwatishia kuwaua). Kwa mtoto maneno na vitisho hivyo viko deep kuliko tunavyotaka kuamini sisi wenyewe (I mean kama mtu mzima ni rahisi kupuuza na kuona anapenda mwenyewe nk).

Nadhani serikali iko bize kuwafunga wakosaji na sio kuwahudumia wahanga wa haya mambo ndiyo maana hayaishi. Wizara husika iwezeshwe kifedha na iandae mfumo mzuri wa kuhakikisha mabinti hawa wanapata maisha baada ya abusers wao kufungwa.

My 5 cent.

Umeongea Jambo la Maana kuwa SERIKALI IPO BUSY KUWA HUKUMUA WALIOWAHALIFU ILA HAWAWEKI UTARATIBU WA KUWASAIDIA WAHANGA, WHICH IS VERY BAD.

HUYO MDADA YUPO MKOA GANI PLEASE
 
Asnte lakn bado sijaelewa nitaandka vzr hii Mada kesho. Samahani kwa typing error zilizo jtokeza nashukuru mlinielewa. Jmn ni story ndefu mama alishafarki2012. Mzee anatishia kusitisha ada na ndgu hawana uwezo. Ninaomba mnishauri vyema na sio kunitukana kua nmeandka hku naharisha na mengne yakuongezeana uchungu. Asnteni snaa mnaozd kutoa maoni yenu nianzie wapi .
sali sana utapata njia upo kwenye wakati mgumu pole
 
Back
Top Bottom