cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,906
- 78,957
Inasikitisha ni wewe unasikitika. Umetetea ni sawa Rais kupiga marufuku watoto wanaopata mimba wasiendelee na masomo, ni kama wote wanapenda kupata mimba. Unashangilia chochote Serikali ikifanya hata kuvunja haki za hawa watoto. Watoto wengi wanaogopa kusema, wanaowafanyia vitendo hivi ni watu wanaowalea. Kwa hili Rais Magufuli amekosea sana, na wote wanaounga mkono MUNGU hatawasamehe. Watoto hawa hawana pa kukimbilia.
Duh
Unajua unani quote sikusomi, sasa inaelekea umeamua kuna Muumba wetu kujivisha cheo na kuhukumu. Yaani unajua huwa sikujibu hata uni quote mara mia.... kwa sababu ya porojo zako ambazo hazijaenda hata chekechea. Wewe ni mdaku, mfata mkumbo na mpenda vya dezo.... unavyojitokeza
Nini haswa kinakusumbua juu ya tamko la Raisi!? Unapata kipato chochote kwa hao watoto kuoata mimba na kurudi kusoma shuke za serikali!?
Haya leo nijibu haya
1. Je raisi ametamka watoto wasisome tena milele popote nchini?
2. Je hao watoto kuruhusiwa kujua ni sawa eakioata mimba nafasi yaoninaeasubiri ya kusoma ni sawa na haufikirii ifachukukiwaje na wazazi wavivu na wanaopenda maki za bure?
3. Hao watoto kwani wamekatazwa kwenda kusoma private schools, na kwako kwanini lazima ya serkali huku ni uamuzi wao kuanza ya ngono!?
4. Ulisikiliza hotuba ya Rais wetu kabisaaaaaa vizuri na kuelewa alichosema juu ya wale ambao yanawatokea kivibaya kuishia kuoata mimba!!! Ulimsikia kweli au wewe ni ile type ya watu hamsikilizi mkadadavua na kuelewa baki mnasubiri neno au maneno ya kudakia tu muonekane mnajua kukosea ..kwenye hili unajua kumkosoa raisi!?
Kaa chini ujisikitikie kabisa, eti ukarusha majina ya wanawake kwako eti wana akili....ha ha ha haaaa nilisoma mwanzo nikakudharau sanaaaaaa na kupita... why... why hukuweka yako unaniletea eti ya viongozi wa serikalini eeeeeeh...yaani nikikudharau kwa sababu mimi najijua kuanzia kiakili etc nipo hata juu na zaidi yao... unafikiri ni kwa sababu tunakitana na ma ID humu.. eeeeeeh jifunze kuishi mwanamke.
Sasa nakuandikia hayo umeandika humo, ukae chini kuona yanakurudia wewe kwa mbio za chui na uzipokeeeee na mikono miwili.
Kama umeumia ulikuwa unaoafa pesa kwa kuvizia watoto waliopata mimba kusema wanarudi shule, sasa warudishe shule kawalipie kwenye shule binafsi. Na nikuambie wale ealiotendea mabaya, inabidi waripoti na mengine yataendelea. Wasidanganye tuuuuuu kusumbua serikali,
Siku zingine usitafute huruma humu kwa kuniandikia mimi au kuniquote tena, nilikuambia muda sasa tafuta kiki huko kwa wengineeeee. Hauniwezi shaaaaaaaaa
Wewe Cocochanel atakukimbiza humu weeeeee, utakomaje eeeeeeeeh... nimekudisi imekuchomaaaaaaaa unaniletea ya mimba kwenye uzi huuu...eeeeeeeeeh JF burudani