Jikite kwenye mada sasa baada ya huo utangulizi...Daah nilikuwa sijui kumbe Ben nae ni mchaga?? Sasa pale Ufipa ni nani mwenye kabila tofauti?
Hakuna aijuaye kesho yake.Wew auko makini kwani siasa nikifo je wew wajua kesho yako?
Siasa hizi....!!!
Jamaa angekuwa anajihusisha na shughuli nyingine tofauti na siasa huenda haya yote yasingetokea.
[HASHTAG]#tunamtakabenakiwahai[/HASHTAG]Ningekuwa mpelelezi ningemkamata Mbowe anisaidie
Ningemuuliza ifuatayvyo
1.Ile safari aliompangia kwenda south africa ilifanikiwa?na alipangiwa kwenda kufanya nini
2.Ni lini aligundua Ben hayupo kazini na alichukua hatua gani
3.Watu 50 waliopelekwa porini bagamoyo walienda kufanya nini
4.vyeti alivyokuwa anagawa mashinji porini ni vya mafunzo ya kufuga kuku au ugaidi?
5.Kwa nini mashinji ametoa waraka kuwakataza Red brigade wasizungumzie wala kuulizia kupotea kwa Ben
mh...hi movie sio mchezo. Ufipa pagumu sana.Ningekuwa mpelelezi ningemkamata Mbowe anisaidie
Ningemuuliza ifuatayvyo
1.Ile safari aliompangia kwenda south africa ilifanikiwa?na alipangiwa kwenda kufanya nini
2.Ni lini aligundua Ben hayupo kazini na alichukua hatua gani
3.Watu 50 waliopelekwa porini bagamoyo walienda kufanya nini
4.vyeti alivyokuwa anagawa mashinji porini ni vya mafunzo ya kufuga kuku au ugaidi?
5.Kwa nini mashinji ametoa waraka kuwakataza Red brigade wasizungumzie wala kuulizia kupotea kwa Ben
Maswali mazuri sana mkuu..Ningekuwa mpelelezi ningemkamata Mbowe anisaidie
Ningemuuliza ifuatayvyo
1.Ile safari aliompangia kwenda south africa ilifanikiwa?na alipangiwa kwenda kufanya nini
2.Ni lini aligundua Ben hayupo kazini na alichukua hatua gani
3.Watu 50 waliopelekwa porini bagamoyo walienda kufanya nini
4.vyeti alivyokuwa anagawa mashinji porini ni vya mafunzo ya kufuga kuku au ugaidi?
5.Kwa nini mashinji ametoa waraka kuwakataza Red brigade wasizungumzie wala kuulizia kupotea kwa Ben
Una uhakika gani kama nimchaga?au kwasababu baba yake aneongea akiwa moshi!!! Kama ni hivyo! Watu wote walio Dar ni wazaramo!!??nenda kaoshe akili yakho inejaa matope.Daah nilikuwa sijui kumbe Ben nae ni mchaga?? Sasa pale Ufipa ni nani mwenye kabila tofauti?
Africa tu ndio SIASA inakuwa matatizoSiasa hizi....!!!
Jamaa angekuwa anajihusisha na shughuli nyingine tofauti na siasa huenda haya yote yasingetokea.
Uongozi ni kipaji.kama huna kipahi cha uongozi huwezi kuwa na busara.Matokeo yake unakuwa mbabe, haushauriki huo ni uongozi wa kulazimisha..Siasa sio uwadui hasa ukiijua vizuri,katika siasa lazma ukubali kukosolewa,usiwe na chuki kwa wale unaowaongoza,lazma uwe na busara katika maamuzi kinyume na hapo lazma utakuwa mtu wa ajabu kuona kama dunia yote ni yako unakuwa mtemi,kutaka kusujudiwa,unachoamua ndio hicho hicho hatakama kinamathara wakati cheo zamana Leo unacho kesho huna
Kama sio mchagga ni kabila gani?Una uhakika gani kama nimchaga?au kwasababu baba yake aneongea akiwa moshi!!! Kama ni hivyo! Watu wote walio Dar ni wazaramo!!??nenda kaoshe akili yakho inejaa matope.
Kwanini ufukirie ni mchaga?Kama sio mchagga ni kabila gani?
Hivi mkuu huu ukabila wako utakusaidia nini?Daah nilikuwa sijui kumbe Ben nae ni mchaga?? Sasa pale Ufipa ni nani mwenye kabila tofauti?
Inafahamika kuwa ni mchaga labda wewe utuambie kabila lake jingine.Kwanini ufukirie ni mchaga?