Baba wa taifa Mwalimu JK Nyerere aliwahi kuvuta sigara?

Baba wa taifa Mwalimu JK Nyerere aliwahi kuvuta sigara?

Huu U-great thinker wenu mnaoushikia bango has gone too far sasa inakuwa vichekesho. Ukijadili smoking habits za kiongozi kama Rais kuna tatizo gani? Nashauri Jaribu ku-google Obama's smoking habits utashangaa greater thinkers na magazeti kibao yenye hadhi yalivyojadili.

Bora Obama ambae bado yuko hai lakn mzee ashakufa ndo maana unapata wachangiaji wachache, sometimes mwachen mzee apumzike tu
 
Alikuwa anavuta nyota a.k.a mkia wa panya. Kwani kuvuta fegi ni kitu cha aibu? Mbona wabumge na mawaziri wengi tu huvuta mibangii?
 
Enzi hizo inaonekana fegi ilikuaga symbol flani hivi kwenye movement ya Marxism..maana kwanzia Castro, Lumumba, Che, Mwalimu, etc walikua wanakula fegi.
 
Jibu la swali lako ni Ndiyo. Nyerere aliwahi kuvuta sigara na alikuwa anakunywa mvinyo.

Uvutaji sigara na unywaji mvinyo haumuondolei mtu heshima yake katika jamii unless kama ni excessive.

Ingawa baadae aliacha kuvuta hadharani na baadae kuacha kabisa. Kumbuka kuvuta sigara siyo tabia unayoweza kuacha overnight.
 
Smoking habits za miaka ya hamsini za marehemu aliyekufa na kuzikwa zaidi ya miaka kumi iliyopita zinakusaidia nini ndugu crocodile? Just thinking aloud!

Hazinisaidii ila sielewi hii habari ya kuwabana watu kujadili mambo mbalimbali ili ku-maintain u "great thinker".
 
Kuna sigara kali...kuna sigara -----,sigara kubwa.sigereti..sasa hapa Sijui tunaxungumziq sigara ipi.
 
Enzi hizo inaonekana fegi ilikuaga symbol flani hivi kwenye movement ya Marxism..maana kwanzia Castro, Lumumba, Che, Mwalimu, etc walikua wanakula fegi.

Lile jarida lilikuwa la kimapinduzi hasa .kulikuwa na habari nyingi za marehemu hayati Karume mawaziri mbalimbali ungelisoma ungepata picha flani ya miaka ya sitini na mwanzo wa sabini kuanzia uvaaji wao.mfano nyere alipenda kuvaa suruali zenye selebrations nyingi suruali pana hivi na shati la mikono mirefu handsome na kijana wa kisasa kwelikweli ingekua leo tungalisema checkbob alipendeza mno
 
Nilikua napitia gazeti la Drum la nikaona picha ya nyerere akiwa ameshika sigara inawaka, jambo hili sikuwahi tena kusikia wala kuona pahala pengine. Huwa linanipa mawazo sana juu ya ni nini hasa nilichokiona.
Shule hamjafungua bado?
 
Nilikua napitia gazeti la Drum la nikaona picha ya nyerere akiwa ameshika sigara inawaka, jambo hili sikuwahi tena kusikia wala kuona pahala pengine. Huwa linanipa mawazo sana juu ya ni nini hasa nilichokiona.

Alikuwa anagonga nyota, kwa siku paketi mbili na nusu, siku ya uhuru 9 dec 1961 akina amekaa kitini usiku alionekana akipuliza moshi kwenda juu, Na mtangazaji wa TBC alikika akitangaza "naona Nyerere akiuangalia moshi, Nadhani anaona ule moshi unamaandishi, Uhuruuuuuuuuuu"
 
Jibu la swali lako ni Ndiyo. Nyerere aliwahi kuvuta sigara na alikuwa anakunywa mvinyo.

Uvutaji sigara na unywaji mvinyo haumuondolei mtu heshima yake katika jamii unless kama ni excessive.

Ingawa baadae aliacha kuvuta hadharani na baadae kuacha kabisa. Kumbuka kuvuta sigara siyo tabia unayoweza kuacha overnight.

asante mi navuta nimeanza mkakati wa kuacha ila nakuwa kama naumwa na viungo vinavuta kama nimetoka mazoezini. Pia ni kiongozi wa kisiasa wafuasi wangu wananishauri niache fegi sasa sijui nikivuta wao wanaona inanipunguzia nini.ila nimeacha mvinyo kwa lengo la kuacha fegi nasoma sana vitabu na kusoma majadiliano hapa JF
 
Kuna watu humu ndani wanatafuta kila baya alilolifanya Nyerere na kuhakikisha wabalitupia hapa sijui kwanini...?

Anyway .Nyerere mwenyewe alikiri wakati anatoka Madarakani kwamba ktk uhai wake aliwahi kufanya mambo mengi ya kipuuzi na ya kijinga. Ila akasema kama mnataka kuishi vema basi yapuuzeni yale Mabaya na muyaishi yale Mazuri. Cha ajabu watu humu ndani kila siku Nyerere Nyerere.... Jamani mwacheni Mzee apumzike mahala alipopumzishwa na Mungu iwe ni Mbunguni ama Jehanamu (Sisi ni binadamu wala si Malaika) Hatujakamilika kwa lolote.

Wewe angalia maisha yako.. Je kuvuta sigara ni haki kwako ama siyo... Usivute kwasababu Nyerere hakuvuta (Angalia lililojema kwako) Wala mtu asikulazimishe kuvuta kwasababu Nyerere alivuta (Angalia lililojema kwako) Siku ya mwisho ni wewe utakayesimama mbele ya kiti cha enzi ukijibu kulingana na ulichotenda duniani (Nyerere hatakuwepo hapo) Tujifunze kuyaishi yaliyomema na yale Maovu yawe changamoto kwetu

Jambo lililowazi hatatukimshusha hadhi Nyerere kiasi gani, hakuna atakayeweza kufikia hadhi aliyonayo Nyerere Tanzania na Duniani kwa ujumla.

Asante.

BACK TANGANYIKA
 
Kuna watu humu ndani wanatafuta kila baya alilolifanya Nyerere na kuhakikisha wabalitupia hapa sijui kwanini...?

Anyway .Nyerere mwenyewe alikiri wakati anatoka Madarakani kwamba ktk uhai wake aliwahi kufanya mambo mengi ya kipuuzi na ya kijinga. Ila akasema kama mnataka kuishi vema basi yapuuzeni yale Mabaya na muyaishi yale Mazuri. Cha ajabu watu humu ndani kila siku Nyerere Nyerere.... Jamani mwacheni Mzee apumzike mahala alipopumzishwa na Mungu iwe ni Mbunguni ama Jehanamu (Sisi ni binadamu wala si Malaika) Hatujakamilika kwa lolote.

Wewe angalia maisha yako.. Je kuvuta sigara ni haki kwako ama siyo... Usivute kwasababu Nyerere hakuvuta (Angalia lililojema kwako) Wala mtu asikulazimishe kuvuta kwasababu Nyerere alivuta (Angalia lililojema kwako) Siku ya mwisho ni wewe utakayesimama mbele ya kiti cha enzi ukijibu kulingana na ulichotenda duniani (Nyerere hatakuwepo hapo) Tujifunze kuyaishi yaliyomema na yale Maovu yawe changamoto kwetu

Jambo lililowazi hatatukimshusha hadhi Nyerere kiasi gani, hakuna atakayeweza kufikia hadhi aliyonayo Nyerere Tanzania na Duniani kwa ujumla.

Asante.

BACK TANGANYIKA

right!
 
Kuna watu humu ndani wanatafuta kila baya alilolifanya Nyerere na kuhakikisha wabalitupia hapa sijui kwanini...?

Anyway .Nyerere mwenyewe alikiri wakati anatoka Madarakani kwamba ktk uhai wake aliwahi kufanya mambo mengi ya kipuuzi na ya kijinga. Ila akasema kama mnataka kuishi vema basi yapuuzeni yale Mabaya na muyaishi yale Mazuri. Cha ajabu watu humu ndani kila siku Nyerere Nyerere.... Jamani mwacheni Mzee apumzike mahala alipopumzishwa na Mungu iwe ni Mbunguni ama Jehanamu (Sisi ni binadamu wala si Malaika) Hatujakamilika kwa lolote.

Wewe angalia maisha yako.. Je kuvuta sigara ni haki kwako ama siyo... Usivute kwasababu Nyerere hakuvuta (Angalia lililojema kwako) Wala mtu asikulazimishe kuvuta kwasababu Nyerere alivuta (Angalia lililojema kwako) Siku ya mwisho ni wewe utakayesimama mbele ya kiti cha enzi ukijibu kulingana na ulichotenda duniani (Nyerere hatakuwepo hapo) Tujifunze kuyaishi yaliyomema na yale Maovu yawe changamoto kwetu

Jambo lililowazi hatatukimshusha hadhi Nyerere kiasi gani, hakuna atakayeweza kufikia hadhi aliyonayo
Nyerere Tanzania na Duniani kwa ujumla.

Asante.






BACK TANGANYIKA[/Qmi nimeanza kuvuta 1996 na huwa sioni kama ni dhambi ukiacha madhara ya kiafya. Acha kudivert fikra za watu kwamba kuna lengo baya, ukiwa philosopher hufi na ndio maana unajadiliwa. tunapomjadili philosopher hatutumii past tense ila simple present maana yake ideas zinaishi. Binafsi ningalipenda nikifa nijadiliwe nisisahaulike kila saa kila siku nijadil
 
Hivi hii ni issue ya kujadiliwa na Great Thinkers!!!? This is too low for JF!

Ndiyo ni issue ya kujadiliwa na Great thinkers, just keep following utashangaa unajifunza mambo ambayo hukupata kuyafahamu kabla, hata kama sio wewe nina hakika wapo watakaojfunza Jambo.
 
Bora Obama ambae bado yuko hai lakn mzee ashakufa ndo maana unapata wachangiaji wachache, sometimes mwachen mzee apumzike tu

Kauli ya kupata wachangiaji wachache isitishe kwanza, si unaona mimi nimeongezeka kama hivi. Bado mapema sana kuhesabu wachangiaji.
 
Back
Top Bottom