Baba wa taifa Mwalimu JK Nyerere aliwahi kuvuta sigara?

Baba wa taifa Mwalimu JK Nyerere aliwahi kuvuta sigara?

Ndiyo ni issue ya kujadiliwa na Great thinkers, just keep following utashangaa unajifunza mambo ambayo hukupata kuyafahamu kabla, hata kama sio wewe nina hakika wapo watakaojfunza Jambo.

Na ndiyo maana nyuzi nyingine tunazifatilia kimya kimya. kuna kitu cha kujifunza hapo.
 
asante mi navuta nimeanza mkakati wa kuacha ila nakuwa kama naumwa na viungo vinavuta kama nimetoka mazoezini. Pia ni kiongozi wa kisiasa wafuasi wangu wananishauri niache fegi sasa sijui nikivuta wao wanaona inanipunguzia nini.ila nimeacha mvinyo kwa lengo la kuacha fegi nasoma sana vitabu na kusoma majadiliano hapa JF

Hongera, kaza buti, sigara kuishinda ni rahisi sana, ni kurekebisha mindset yako tu then you win, download app inaitwa quit now, ipo play store, soma makala zinazoelezea faida za.kuacha, you will love it, nina mwezi sasa sijavuta baada ya kuvuta kwa miaka, kujaribu kuacha mara kadhaa bila mafanikio.

Lakini this time naona kama nitashinda, sigara ni mbaya sana, najisikia tofauti sana baada ya kuacha.

Hata asubuhi gangu ni tofauti sana na zamani.

QUIT NOW!
 
Nilikua napitia gazeti la Drum la nikaona picha ya nyerere akiwa ameshika sigara inawaka, jambo hili sikuwahi tena kusikia wala kuona pahala pengine. Huwa linanipa mawazo sana juu ya ni nini hasa nilichokiona.

Ukijua itakusaidia nini?
 
Jbu Ni Ndiyo Alishawahi Kuvuta, Marxists ilikua n kama principle kuvuta, ndio maana hata mm mwenye imani ya mlengo wa kushoto najiona cjitendei haki kutovuta, yan nikimalza chuo n mwendo wa fegi

usisahau viroba na bange za serekale..!
 
Na ndiyo maana nyuzi nyingine tunazifatilia kimya kimya. kuna kitu cha kujifunza hapo.

Ni kweli wakuu, c kila kitu unachokijua wew basi na wengine wanajua, kama mmi hapa nilikuwa cjui hilo.

Pili hata kama unajua hicho kitu ki style hii wenzako wanakuwa na uwezo wakuchambua kwa style nyingine na ikaleta maana au utofauti kabsa na ulichokuwa unakijua, ko hapa tunajifunza kupitia michango ya wadau mbalimbali.

Tatu, thread nyingine zinaweza kuwa kama mada chokonozi hivyo zikaweza kuibua mambo mengine na watu tukajigunza kitu.
Great thinker hujadili au kuchambua hoja rahisi ni great way na si ukiona kitu cha kawaida tu unapotezea. Bila hivyo basi watu wasingekuwa wanagundua au kumodify vitu.
Ukiona kama mada kwako haikupi chochote kaa kimya wenye uhitaji watakuja kuchangia na wenye kufaidika watafaidika. Tuache kuponda post za watu. Ni hayo tu
 
Tetesi😛ia mwalimu JKN alikuwa akitumia bangi kabla ya kutoa hotuba zke

NB:bangi husaidia kuongeza uwezo wa kujiamini kwa bahadhi ya watumiaji( mtazamo wangu)
 
Huu U-great thinker wenu mnaoushikia bango has gone too far sasa inakuwa vichekesho. Ukijadili smoking habits za kiongozi kama Rais kuna tatizo gani? Nashauri Jaribu ku-google Obama's smoking habits utashangaa greater thinkers na magazeti kibao yenye hadhi yalivyojadili.

issue ni kwamba whats the point hasa importantly mtu mwenyewe kashafariki unless hii mada ingewekwa kwenye jukwaa la udaku kuwepo hapa ni kutujazia server bila sababu!!!!
 
Ngoja nami niwashe yangu nimuenzi mwalimu😀😀😀:
 
Jbu Ni Ndiyo Alishawahi Kuvuta, Marxists ilikua n kama principle kuvuta, ndio maana hata mm mwenye imani ya mlengo wa kushoto najiona cjitendei haki kutovuta, yan nikimalza chuo n mwendo wa fegi


Kwani mpaka umalize chuo mkuu
 
George W. Bush Jnr aliwahi kuvuta BANGI kabla hajawa Rais wa 43 wa Marekani.
 
wavutaji wana busara sana ni wawekezaji wazuri na wanaumoja
 
Smoking habits za miaka ya hamsini za marehemu aliyekufa na kuzikwa zaidi ya miaka kumi iliyopita zinakusaidia nini ndugu crocodile? Just thinking aloud!

Kule tu kifichwa kwa kitendo hiki ni sababu tosha ya kumfanya anayehoji kuwa great thinker. Kumbuka tumekuwa tukifundishwa kwamba kuvuta sigara ni tabia mbaya, watu tumepigwa sana majumbani sababu tu marafiki zetu inasemekana wavuta sigara.

What if uvutaji wa mwalimu ungewekwa wazi, tungeendelea kupigwa?
 
Back
Top Bottom