Katika hizo picha anaonekana akiwa katika mazingira amezungukwa na maafisa wa serekali akiongea nao huku mkono wa kushoto ameshika mche unaungua . Sijui ilikua sigara gani. siku moja nikamuuliza jamaa yangu kuhusu hiyo picha akanionya acha usije kuuliza utafungwa
Nilikua napitia gazeti la Drum la nikaona picha ya nyerere akiwa ameshika sigara inawaka, jambo hili sikuwahi tena kusikia wala kuona pahala pengine. Huwa linanipa mawazo sana juu ya ni nini hasa nilichokiona.
Hivi hii ni issue ya kujadiliwa na Great Thinkers!!!? This is too low for JF!
Hivi hii ni issue ya kujadiliwa na Great Thinkers!!!? This is too low for JF!
Hivi kuna mtu wa Musoma ambae havuti bange na sigara?
Ndio great thinkers hao! Yaani uwezo wao wa kufikiri umefikia hapo.Soon tutasikia MTU akiuliza HIVI OBAMA ANAJAMBAGA?
Smoking habits za miaka ya hamsini za marehemu aliyekufa na kuzikwa zaidi ya miaka kumi iliyopita zinakusaidia nini ndugu crocodile? Just thinking aloud!Huu U-great thinker wenu mnaoushikia bango has gone too far sasa inakuwa vichekesho. Ukijadili smoking habits za kiongozi kama Rais kuna tatizo gani? Nashauri Jaribu ku-google Obama's smoking habits utashangaa greater thinkers na magazeti kibao yenye hadhi yalivyojadili.