aimi lyatuu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 723
- 766
Katika kujaribu kufuta ujinga wangu(kusoma-soma)nilikutana na habari ya uhuru wa tz humo ndani nyerere anatajwa kwenye matambiko kama yote ye-na wazee flani...stori imeelezea nyerere alikaa siku 3 ndani ya mapango huko BAGAMOYO akifundwa na mizimu(satan way)na alipotoka mle pangoni "aidia"ya mwenge ikazaliwa kimsingi ni moja Kati ya maagano ya mle pangoni...kwa hayo na mengine mengi as me hafai na nikumkosea Mungu