Baba wa taifa kutangazwa mwenye heri, wakatoliki hili limekaaje?

Katika kujaribu kufuta ujinga wangu(kusoma-soma)nilikutana na habari ya uhuru wa tz humo ndani nyerere anatajwa kwenye matambiko kama yote ye-na wazee flani...stori imeelezea nyerere alikaa siku 3 ndani ya mapango huko BAGAMOYO akifundwa na mizimu(satan way)na alipotoka mle pangoni "aidia"ya mwenge ikazaliwa kimsingi ni moja Kati ya maagano ya mle pangoni...kwa hayo na mengine mengi as me hafai na nikumkosea Mungu
 
Katika kujaribu kufuta ujinga wangu(kusoma-soma)nilikutana na habari ya uhuru wa tz humo ndani nyerere anatajwa kwenye matambiko kama yote ye-na wazee flani...stori imeelezea nyerere alikaa siku 3 ndani ya mapango huko BAGAMOYO akifundwa na mizimu(satan way)na alipotoka mle pangoni "aidia"ya mwenge ikazaliwa kimsingi ni moja Kati ya maagano ya mle pangoni...kwa hayo na mengine mengi as me hafai na nikumkosea Mungu
Hayo yote ni vema mkawasilisha kwenye mimbari za Papa wa kanisa Katoliki ili lifanyiwe mjadala.Inshaallah,naamini tutakuwa wenye kupata majawabu.
 
Sidhani hata yeye angeshirikishwa angekubaliana na hili! Au kuna mtakatifu yeyote aliyewahi kuua kisha akawa mtakatifu? tujuze wanazuoni wa kikatoliki tafadhari.
Wapo.wengi wameua hujui.maandiko, Mungu mwenyewe anaua kupitia gharika na safina sembuse Nyerere mtakatifu,

Japo hakuna ushahidi wa Moja kwa Moja wa kuua lakin sidhani kama kuna rais anaingia madarakani na kutoka bila kuua,

Inaitwa poteza wachache ili waliowengi watawalike vema
 
Inaelekea huelewi maana ya Yesu kushuka duniani! Kama wewe ni Mkristu basi bila shaka utakuwa ni wale Wa Vikundi vinavyojifunza ukristu.


Yesu alikuja kuwafanya wadhambi wawe marafiki zake na kisha waingie Mbinguni kula "Bata". Kama ndivyo, wewe unashangaa nini? Kama mwenye mbingu yake,Yesu Kristu, anawakubali wadhambi na kuwapokea wewe ni nani hata uhoji mchakato Wa kutangazwa Mwl.Nyerere, Mwenye Heri? Hebu jifunze hivi:

1, Mtume Petro ni Mtakatifu. Yeye alimkana Yesu wakati Wa mateso yake.
2. Paulo ni Mtakatifu. Alikaba na kuchinja wakristu wengi sana. Mbona hujahoji utakatifu wake?
Umemjibu vema
 
Kwani lazima utukane?! hata kama unajipendekeza jamani daah! ndio aliidhinisha kifo cha Mwamwindi aliyemuua Kleruu.
1.Tayari umeshasema aliidhinisha kifo cha Mwamwindi aliyemuua Kleruu.(Kwa hapa tu tayari yeye sio muuaji.Je kama aliidhinisha tu kwenye kusain makaratasi halafu huko mbele hawakumuua?.
2. Kumbuka yeye alikuwa kiongozi,ni lazima kwa kiongozi muadirifu kutekereza sheria kama zilivyokuwa zinasema. Aliyeua hata kama muuaji angekuwa ni ndugu yake,sheria zetu zinasema lazima anyongwe hadi kufa. Usipotekeleza hiyo sheria kwa sababu ni Mwamwindi mtu maarufu,je hawa wananchi wengine wasiomaarufu?
 
Mambo ya Wakatholiki hutayaweza mkuu, huko iliwahi kuweko cheti cha msamaha wa dhambi kwa marehemu.!
 
Nasikia mwl alishiriki matambiko ya miungu ya kipagani. Kama ni kweli bado anastahili kuitwa mwenye heri? Au kwa wakatoliki kutambika ni sawa?
Mimi navyojua mtu anayetegemea waganga hafai kuwa au kuitwa mkiristo
 
Sasa hapo umejibu ulicho ulizwa ama pombe imepanda kichwani. empty set kabisa
Umezaliwa mwaka gani? maana humu kumejaa under 18 siku hizi mnasumbua kama nini ndo mana hatuingii kila mara kama zamani humu jf
 
Sheria inazungumzaje juu ya mtu aliyeua kwa makusudi na kukiri au ushahidi kumuweka hatiani?Unaweza ukajidai unahisi machungu mengi juu ya mzee Mwamindi,je upande wa akina Klerruu umewahi kuhisi hisia zao?Mwana wa mwenzio si mbwa "ndaa" ni mtu vilevile!
Lakini hapa mada inahusu utakatifu wa Baba wa Taifa haihusu uchungu wa wafiwa, elewa mada kiongozi.
 
Hayo ya mambo ya ww kuwekewa maji ukoge yanasabihana vipi katika hii mada?? empty set kabisa
Mkuu kwa hishma na taadhima nitake radhi.Niimeishi na shangazi yako kwa miaka ishirini na nane kama mke wangu na hajawahi kugoma kuniwekea maji bafuni wala kupuuza mimi kujifunga kitenge chake ninapoenda kujiswafi mwili na roho.Uminikosea hishma sana na unapaswa kupata baridi ya moyo,mwili hadi akili.
 
Back
Top Bottom