Baba wa taifa kutangazwa mwenye heri, wakatoliki hili limekaaje?

Inaelekea huelewi maana ya Yesu kushuka duniani! Kama wewe ni Mkristu basi bila shaka utakuwa ni wale Wa Vikundi vinavyojifunza ukristu.


Yesu alikuja kuwafanya wadhambi wawe marafiki zake na kisha waingie Mbinguni kula "Bata". Kama ndivyo, wewe unashangaa nini? Kama mwenye mbingu yake,Yesu Kristu, anawakubali wadhambi na kuwapokea wewe ni nani hata uhoji mchakato Wa kutangazwa Mwl.Nyerere, Mwenye Heri? Hebu jifunze hivi:

1, Mtume Petro ni Mtakatifu. Yeye alimkana Yesu wakati Wa mateso yake.
2. Paulo ni Mtakatifu. Alikaba na kuchinja wakristu wengi sana. Mbona hujahoji utakatifu wake?
Kuhusu Paulo nishajibu jibu lake linamhusu hata Petro pia pitia uzi mzima kabla hujajibu.
Lakini nikijibu hoja ya kwenda mbinguni ni sawa kwa kila mkombolewa lakini je kila anayekwenda mbinguni tunamtangaza mwenye heri na kumuomba atuombee? na je wasiotangazwa wenye heri hawajafika mbinguni kwa mujibu wa maelezo yako?
una jina zuri laini hujui matumizi yake!
 
Swadaktaaa!Enhee...alimuua nani hebu tutanabaishie ndugu shuhuda ili basi tupate ufahamu!?
Kuna bwana mmoja alikuwa anaghasiwa na mkuu wa mkoa katika harakati za siasa za ujamaa kwa maana huyo bwana alikuwa na mashamba makubwa ambayo kwa mujibu wa mkuu huyo wa mkoa alikuwa anaonekana bwana yule ni bepari, basi jumapili moja akumfuata shambani kwake na kumfanyia kama mkuu mmoja aliyevamia kituo cha tv hapa Dar, basi bwana yule akamtwanga gobole ndugu mkuu akaaga ulimwengu, kisha bwana yule akafikishwa kunako koti na kuhukumiwa kifo, basi baba akatia saini bwana yule akanyongwa.
Nadhani kwakuwa umekaa na shangazi kwa miaka 25 utakumbuka vizuri sasa.
 
Alisign death sentence kibao. Japo alikuwa abauwwzo wa kuwaacha wakatumikia kifungo cha maisha.
Sheria inazungumzaje juu ya mtu aliyeua kwa makusudi na kukiri au ushahidi kumuweka hatiani?Unaweza ukajidai unahisi machungu mengi juu ya mzee Mwamindi,je upande wa akina Klerruu umewahi kuhisi hisia zao?Mwana wa mwenzio si mbwa "ndaa" ni mtu vilevile!
 
Kuna bwana mmoja alikuwa anaghasiwa na mkuu wa mkoa katika harakati za siasa za ujamaa kwa maana huyo bwana alikuwa na mashamba makubwa ambayo kwa mujibu wa mkuu huyo wa mkoa alikuwa anaonekana bwana yule ni bepari, basi jumapili moja akumfuata shambani kwake na kumfanyia kama mkuu mmoja aliyevamia kituo cha tv hapa Dar, basi bwana yule akamtwanga gobole ndugu mkuu akaaga ulimwengu, kisha bwana yule akafikishwa kunako koti na kuhukumiwa kifo, basi baba akatia saini bwana yule akanyongwa.
Nadhani kwakuwa umekaa na shangazi kwa miaka 25 utakumbuka vizuri sasa.
Kuhusu shangazi yako sijabisha.Kwani mtu akikutusi adhabu yake ni kumuua palepale?Hakuna vyombo vya kisheria kukupa haki?
 
Sheria inazungumzaje juu ya mtu aliyeua kwa makusudi na kukiri au ushahidi kumuweka hatiani?Unaweza ukajidai unahisi machungu mengi juu ya mzee Mwamindi,je upande wa akina Klerruu umewahi kuhisi hisia zao?Mwana wa mwenzio si mbwa "ndaa" ni mtu vilevile!
Walihukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia. Mwlimu alikuwa mkotoliki safi na mcha Mungu, kwa mamlaka aliyokuwa nayo alikuwa na uwezo wa kutosign jamaa kunyongwa na akawaacha wakafia gerezani.

Kumbuka haki ya kwanza ya mtu ni kuishi. Unapotoa mtu uhai ni kumyanganya haki yake ya kuishi. Kuna taarifa enzi zake Mwalomu alisign vifo zaidi ya 125.
 
Walihukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia. Mwlimu alikuwa mkotoliki safi na mcha Mungu, kwa mamlaka aliyokuwa nayo alikuwa na uwezo wa kutosign jamaa kunyongwa na akawaacha wakafia gerezani.

Kumbuka haki ya kwanza ya mtu ni kuishi. Unapotoa mtu uhai ni kumyanganya haki yake ya kuishi. Kuna taarifa enzi zake Mwalomu alisign vifo zaidi ya 125.
Sasa unataka kumuhukumu mwalimu kwa kusaini kwake hati ya kifo badala ya ninyi kina gitogito mngemnasihi mwamuhehe Mwamwindi kuepuka hasira za e-kihehe?Binadamu tusiwe na visingizio kkwa makosa yetu kwa kusingizia matokeo hasi ya.mnachofanya.Kila kazi ina ujira wake.
 
Dini is for Stupids....

Yaani grupu la watu wazinzi ,waasherati na wazandiki kama mimi wanakaa kwenye meza wanapiga kura eti fulani awe "mtakatifu"..

Mbwa kasoro mikia kabisa...
Umetumia maneno makali ili uoneshe fikra zako.Jambo moja ni kuwa umewakusanya woootee kwa kadiri ya fikra zako.Unataka kuwaaminisha wanaokuunga mkono kuwa wote hao ni wadhambi?Tafakari.
 
Back
Top Bottom