Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,444
- 25,591
Ni Mtakatifu....Paulo ni mtume sio mtakatifu
Ni Mtakatifu....Paulo ni mtume sio mtakatifu
Kwa ushahidi upi ..?Kutia hati ya kuua ni kuua mkuu
Kuhusu Paulo nishajibu jibu lake linamhusu hata Petro pia pitia uzi mzima kabla hujajibu.Inaelekea huelewi maana ya Yesu kushuka duniani! Kama wewe ni Mkristu basi bila shaka utakuwa ni wale Wa Vikundi vinavyojifunza ukristu.
Yesu alikuja kuwafanya wadhambi wawe marafiki zake na kisha waingie Mbinguni kula "Bata". Kama ndivyo, wewe unashangaa nini? Kama mwenye mbingu yake,Yesu Kristu, anawakubali wadhambi na kuwapokea wewe ni nani hata uhoji mchakato Wa kutangazwa Mwl.Nyerere, Mwenye Heri? Hebu jifunze hivi:
1, Mtume Petro ni Mtakatifu. Yeye alimkana Yesu wakati Wa mateso yake.
2. Paulo ni Mtakatifu. Alikaba na kuchinja wakristu wengi sana. Mbona hujahoji utakatifu wake?
Swadaktaaa!Enhee...alimuua nani hebu tutanabaishie ndugu shuhuda ili basi tupate ufahamu!?Kwamba ulitaka kujua alimuua nani
Alisign death sentence kibao. Japo alikuwa abauwwzo wa kuwaacha wakatumikia kifungo cha maisha.Twende polepole.Alimuua nani?
Kuna bwana mmoja alikuwa anaghasiwa na mkuu wa mkoa katika harakati za siasa za ujamaa kwa maana huyo bwana alikuwa na mashamba makubwa ambayo kwa mujibu wa mkuu huyo wa mkoa alikuwa anaonekana bwana yule ni bepari, basi jumapili moja akumfuata shambani kwake na kumfanyia kama mkuu mmoja aliyevamia kituo cha tv hapa Dar, basi bwana yule akamtwanga gobole ndugu mkuu akaaga ulimwengu, kisha bwana yule akafikishwa kunako koti na kuhukumiwa kifo, basi baba akatia saini bwana yule akanyongwa.Swadaktaaa!Enhee...alimuua nani hebu tutanabaishie ndugu shuhuda ili basi tupate ufahamu!?
Sheria inazungumzaje juu ya mtu aliyeua kwa makusudi na kukiri au ushahidi kumuweka hatiani?Unaweza ukajidai unahisi machungu mengi juu ya mzee Mwamindi,je upande wa akina Klerruu umewahi kuhisi hisia zao?Mwana wa mwenzio si mbwa "ndaa" ni mtu vilevile!Alisign death sentence kibao. Japo alikuwa abauwwzo wa kuwaacha wakatumikia kifungo cha maisha.
Kuhusu shangazi yako sijabisha.Kwani mtu akikutusi adhabu yake ni kumuua palepale?Hakuna vyombo vya kisheria kukupa haki?Kuna bwana mmoja alikuwa anaghasiwa na mkuu wa mkoa katika harakati za siasa za ujamaa kwa maana huyo bwana alikuwa na mashamba makubwa ambayo kwa mujibu wa mkuu huyo wa mkoa alikuwa anaonekana bwana yule ni bepari, basi jumapili moja akumfuata shambani kwake na kumfanyia kama mkuu mmoja aliyevamia kituo cha tv hapa Dar, basi bwana yule akamtwanga gobole ndugu mkuu akaaga ulimwengu, kisha bwana yule akafikishwa kunako koti na kuhukumiwa kifo, basi baba akatia saini bwana yule akanyongwa.
Nadhani kwakuwa umekaa na shangazi kwa miaka 25 utakumbuka vizuri sasa.
Walihukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia. Mwlimu alikuwa mkotoliki safi na mcha Mungu, kwa mamlaka aliyokuwa nayo alikuwa na uwezo wa kutosign jamaa kunyongwa na akawaacha wakafia gerezani.Sheria inazungumzaje juu ya mtu aliyeua kwa makusudi na kukiri au ushahidi kumuweka hatiani?Unaweza ukajidai unahisi machungu mengi juu ya mzee Mwamindi,je upande wa akina Klerruu umewahi kuhisi hisia zao?Mwana wa mwenzio si mbwa "ndaa" ni mtu vilevile!
Alimuua nani?Sidhani hata yeye angeshirikishwa angekubaliana na hili! Au kuna mtakatifu yeyote aliyewahi kuua kisha akawa mtakatifu? tujuze wanazuoni wa kikatoliki tafadhari.
Mauaji ya kagera 1978Kwasababu hakuna ushahidi kuwa aliua.....
Hakika mkuu huu ni ujinga mkubwa kabisaDini is for Stupids....
Yaani grupu la watu wazinzi ,waasherati na wazandiki kama mimi wanakaa kwenye meza wanapiga kura eti fulani awe "mtakatifu"..
Mbwa kasoro mikia kabisa...
Sasa unataka kumuhukumu mwalimu kwa kusaini kwake hati ya kifo badala ya ninyi kina gitogito mngemnasihi mwamuhehe Mwamwindi kuepuka hasira za e-kihehe?Binadamu tusiwe na visingizio kkwa makosa yetu kwa kusingizia matokeo hasi ya.mnachofanya.Kila kazi ina ujira wake.Walihukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia. Mwlimu alikuwa mkotoliki safi na mcha Mungu, kwa mamlaka aliyokuwa nayo alikuwa na uwezo wa kutosign jamaa kunyongwa na akawaacha wakafia gerezani.
Kumbuka haki ya kwanza ya mtu ni kuishi. Unapotoa mtu uhai ni kumyanganya haki yake ya kuishi. Kuna taarifa enzi zake Mwalomu alisign vifo zaidi ya 125.
Mtakatifu Paulo (Sauli)Sidhani hata yeye angeshirikishwa angekubaliana na hili! Au kuna mtakatifu yeyote aliyewahi kuua kisha akawa mtakatifu? tujuze wanazuoni wa kikatoliki tafadhari.
Parokia yangu ya ubungo msewe inaitwa parokia ya mtakatifu Paulo Mtume ubungo Msewe.Paulo ni mtume sio mtakatifu
Mkuu,yawezekana upo katika hatua za mwanzo za kuandaa ushahidi wako usio mawaa.Hebu uwe mwenye kukusanyakusanya basi ndiyo utumwagie hoja.Hii uliyoileta ni dhaifu mnoo kama mgonjwa wa sotoka.Kutia hati ya kuua ni kuua mkuu
Umetumia maneno makali ili uoneshe fikra zako.Jambo moja ni kuwa umewakusanya woootee kwa kadiri ya fikra zako.Unataka kuwaaminisha wanaokuunga mkono kuwa wote hao ni wadhambi?Tafakari.Dini is for Stupids....
Yaani grupu la watu wazinzi ,waasherati na wazandiki kama mimi wanakaa kwenye meza wanapiga kura eti fulani awe "mtakatifu"..
Mbwa kasoro mikia kabisa...