Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende polepole.Alimuua nani?Sidhani hata yeye angeshirikishwa angekubaliana na hili! Au kuna mtakatifu yeyote aliyewahi kuua kisha akawa mtakatifu? tujuze wanazuoni wa kikatoliki tafadhari.
Sidhani hata yeye angeshirikishwa angekubaliana na hili! Au kuna mtakatifu yeyote aliyewahi kuua kisha akawa mtakatifu? tujuze wanazuoni wa kikatoliki tafadhari.
Kwa mtiririko huu wa kuulizana kama unamsuta shoga yako huko uswahilini hatufiki maalim!😂😂😂😂😂nawewe tupe ushaidi kama hajaua
Mkuu kwa hishma na taadhima nitake radhi.Niimeishi na shangazi yako kwa miaka ishirini na nane kama mke wangu na hajawahi kugoma kuniwekea maji bafuni wala kupuuza mimi kujifunga kitenge chake ninapoenda kujiswafi mwili na roho.Uminikosea hishma sana na unapaswa kupata baridi ya moyo,mwili hadi akili.Umezaliwa mwaka gani? maana humu kumejaa under 18 siku hizi mnasumbua kama nini ndo mana hatuingii kila mara kama zamani humu jf
Paulo ni mtume sio mtakatifu
Basi natengua kauli na kufuta usemi mkuu lakini kwa mujibu wa maelezo yako pale yalikupeleka kunako andaeitiini mkuu!Mkuu kwa hishma na taadhima nitake radhi.Niimeishi na shangazi yako kwa miaka ishirini na nane kama mke wangu na hajawahi kugoma kuniwekea maji bafuni wala kupuuza mimi kujifunga kitenge chake ninapoenda kujiswafi mwili na roho.Uminikosea hishma sana na unapaswa kupata baridi ya moyo,mwili hadi akili.
Kwahiyo ni sahihi kumtangaza utakatifu asiye na rekodi ya matendo matakatifu maishani mwake?Mt. Bernard of Clairvaux ambae aliendesha jihad (crusade) ulaya
Mitume wako honoured kuliko watakatifu…...sasa kama mitume waliua vp watk?
Sina namna bali kutoa msamaha.Enhee...tuendelee,tulikuwa tumefikia wapi vile?Basi natengua kauli na kufuta usemi mkuu lakini kwa mujibu wa maelezo yako pale yalikupeleka kunako andaeitiini mkuu!
Kwasababu hakuna ushahidi kuwa aliua.....nawewe tupe ushaidi kama hajaua
Sidhani hata yeye angeshirikishwa angekubaliana na hili! Au kuna mtakatifu yeyote aliyewahi kuua kisha akawa mtakatifu? tujuze wanazuoni wa kikatoliki tafadhari.