Baba wa taifa kutangazwa mwenye heri, wakatoliki hili limekaaje?

Hakuna sehemu katika Andiko langu nimetaja jina "Mwl.Nyerere". Wala sina kipingamizi kwenu kuendelea na mchakato wa Kumtakatifuza maana kitendo hicho hakitaniongezea wala kunipunguzi chochote hapa duniani.

Kwa hiyo, concern yako ni nini hasa? Ulitaka kutuaminisha kwamba maombi ya walio hai hayawezi kuwasaidia wafu? Kama ndivyo, ina maana unataka kusema Mungu ana "masikio" ya kusikiliza maombi ya walio hai kwa ajili ya walio hai tu ila hana "masikio" ya kusikiliza maombi ya walio hai kwa ajili ya wafu? Kama ndivyo, atakuwa ni Mungu Wa aina gani?
 
Kwa hiyo, concern yako ni nini hasa? Ulitaka kutuaminisha kwamba maombi ya walio hai hayawezi kuwasaidia wafu? Kama ndivyo, ina maana unataka kusema Mungu ana "masikio" ya kusikiliza maombi ya walio hai kwa ajili ya walio hai tu ila hana "masikio" ya kusikiliza maombi ya walio hai kwa ajili ya wafu? Kama ndivyo, atakuwa ni Mungu Wa aina gani?
Mtu akishakufa mambo yake yote yamefungwa. Mungu ni wa watu walio hai. Wafu hawajui lolote. Ndio maana hata wakati wa misa ya mazishi, mahubiri yote huwa yanahusu wazima. Mfu anakuwa amemaliza kazi yake na kurudi alikotoka, wewe unayemwombea ndiye ulimleta duniani ?Wakati anazaliwa wewe ulifahamu kwa atakuwa nani hapa duniani ? Na, je huko alikoenda wewe ndo umpeleka ? Mungu ambaye amwita huko, anafahamu fika mahali pa kummweka sio kupangiwa na binadamu tena wenye dhambi.
 
Back
Top Bottom