hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
hahaaMkuu kwa hishma na taadhima nitake radhi.Niimeishi na shangazi yako kwa miaka ishirini na nane kama mke wangu na hajawahi kugoma kuniwekea maji bafuni wala kupuuza mimi kujifunga kitenge chake ninapoenda kujiswafi mwili na roho.Uminikosea hishma sana na unapaswa kupata baridi ya moyo,mwili hadi akili.