kwani dr masumbuko lamwai na mh joseph selasini ni ndugu?
TANZIA:
Baba yangu Mzazi Mzee Roman Selasini Amefariki Jioni ya Leo saa 12:15 Katika hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akiendelea na Matibabu.
R.I.P My Dad.
Joseph Roman Selasini
MB-Rombo
CHADEMA
Source: Mhe. Selasini on Social Networks