rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 147
R.I.P tuko wote!
TANZIA:
Baba yangu Mzazi Mzee Roman Selasini Amefariki Jioni ya Leo saa 12:15 Katika hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akiendelea na Matibabu.
R.I.P My Dad.
Pole sana Mhe. na R.I.P mzee wetu Roman.
Mwenyezi Mungu ampe raha ya milele na mwanga wa milele amuangazie, astarehe kwa amani. Amina..