Baba wa Mhe. Joseph Selasini Afariki

Baba wa Mhe. Joseph Selasini Afariki

Poleni familia ya Mh.J.Selasini Mungu awafariji,tuelewe tu kuwa "duniani tu wapitaji na wasafiri
uwenyeji wetu ni Mbinguni"Tujiweke tayari.
 
TANZIA:

Baba yangu Mzazi Mzee Roman Selasini Amefariki Jioni ya Leo saa 12:15 Katika hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akiendelea na Matibabu.
R.I.P My Dad.

Joseph Roman Selasini
MB-Rombo
CHADEMA



Source: Mhe. Selasini on Social Networks

Pole mkuu. Amani iwe juu yako katika kipindi hiki kigumu cha kufiwa na mpendwa wako.
 
TANZIA:

Baba yangu Mzazi Mzee Roman Selasini Amefariki Jioni ya Leo saa 12:15 Katika hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akiendelea na Matibabu.
R.I.P My Dad.

Joseph Roman Selasini
MB-Rombo
CHADEMA



Source: Mhe. Selasini on Social Networks

Pole sana kamanda Selasini; Kazi ya Mungu haina makosa, tunajua unapitia katika kipindi kigumu sana katika maisha yako tangu mkasa wa ajali ya gari iliyosababisha kuondokewa na wanafamilia wengi, lakini piga moyo konde; kila jambo lina sababu zake. udumu katika imani yako na mwenyezi mungu atakupa faraja.
Apumzike kwa amani mzee Roman Selasini
 
Pole sana Kamanda,
Hayo ni matendo ya Mungu,
Tumshukuru kwa yote.
 
Pole mh. Selasini Mungu akupe faraja

Chama
Gongo la mboto DSM
 
TANZIA:

Baba yangu Mzazi Mzee Roman Selasini Amefariki Jioni ya Leo saa 12:15 Katika hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akiendelea na Matibabu.
R.I.P My Dad.


Joseph Roman Selasini
MB-Rombo
CHADEMA



Source: Mhe. Selasini on Social Networks


Jipe moyo kaka na BWANA Akutie nguvu. soma ZAB 22:1
Tuunganishe vilio, machungu, upweke na shida zetu na wa Yesu Msalabani.
Kumbuka kwa yote ambayo yamekufika mwaka huu ni mazito na msaada wako utatoka kwa BWANA tu. Pole sana
 
Raha ya Milele umpe ee Bwana; na Mwanga wa Milele umwangazie,
Apumzike kwa Amani, Amina.
 
Pole sana ndugu selasini najua upo kwenye kipindi kigumu. hayo ni mapito R.I.P Mzee Roman Selasin. Mungu akutie nguvu. Utashinda
 
Pole mbunge wetu...unayetetea maslahi ya jimbo lako ukiwa huko kwenye mjengo...rip baba
 
Tumsukuru mungu kwa yote, pole sana mh.umepitia wakati mgumu ktk maisha yako kupoteza ndugu na jamaa ktk mwaka mmoja ni ngumu kuamini ila yote ni mapenzi ya mungu, tumsifu yesu kristu!!!
 
RIP mzee wetu na poleni familia kwa msiba huu mzito!
 
Kwa kamanda huu ni mwaka wa Shetani kwake, ila tunamuombea Mungu awe na moyo wa uvumilivu.Pole mkuu.
 
Pole sana mheshimiwa,Mungu akupe nguvu ktk wkt huu mgumu usimame imara.
pole sana sana na msiba mhe mzee Romani alikuwa ni Diwani wa CCM Kwa muda mrefu sana
na ni katika madiwani wenye msimamo na wenye kuheshimika katika jamiii tumepoteza
mtu muhimu sana ni mipango ya Mungu ,
 
tumshukuru Mungu kwa kila jambo maana yeye ndiye muweza yote.
pole nyingi kwa familia ya Mh. Kiongozi wetu Joseph Selasini.
R I P Baba yetu, mzee wetu Roman Selasini.
 
Back
Top Bottom