Yep!dah.! Ndio yule aliepata ajali hivi karibuni, leo kafiwa na babake pole sana kamanda.!
kwani dr masumbuko lamwai na mh joseph selasini ni ndugu?Poleni sana Dr Masumbuko Selasini Lamwai na Joseph selasini kwa kumpoteza baba yenu mzee Selasini.
Pole sana mheshimiwa,Mungu akupe nguvu ktk wkt huu mgumu usimame imara.Sad.
Jamaa kapoteza watu wengi wa karibu nae kwa kipindi kifupi.
Ye bado hajapona mkono, mkewe bado hajapona shingo baada ya ajali mbaya iliyoua nduguze wengine.
Pole sana Kamanda