Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,063
- 3,630
hahaa eti UKAGUZI WA GHAFLA! Utafkiri shuleni hapo? HIYO NI NEO-COLONIALISM
Nikipitia Sehem sehem!!Ulikuwa unachelewa wapi?Au mwalimu alikuwa anakupa kazi za ziada?!!
Mimi sijawahi ila nilikuwa nachelewa kurudi nikienda tution!nikirudi nasemwaaa!
Ukaguzi wa namna hiyo unaonesha kuwa huyo baba ana matatizo katika uwezo wake wa kufikiri...
Kama watu wanataka kufanya kitu cha namna hiyo, mama ndiye mtu sahihi wa kukagua simu za binti zake....tena kwa usiri mkubwa kama CIA...
Hata hivyo haina msaada sana. Jambo la msingi ni kuweka mkataba mzuri wa jinsi ya kuishi katika familia....
Kwani hata watu wazima wanatunza sms zenye utata??
Labda huyo dingi atumie mitandao ya simu kufanya coverage ya binti zake...ingawa pia wanaweza kuwa namba zao za siri...
Heri yetu tuliozaliwa na kukua zenzi za BBC...(Born before Computers)!
Babu DC!!
We ulikuwa huruki ukuta?au kunyata?
Bibi hayuko...hadi mda huu uko kuperuzi hum ndani
tuachie wajukuu zako..mpeti mpeti bibi hapo
Ana lengo zuri la kuhakikisha watoto wake hawatumii uhuru wa simu vibaya hata mimi walikuwa wanachunguza simu nilipokuwa 18's ikanibidi majina ya kiume nisave kwa majina ya kike iki wasistukie.
hiyo ni kweli mfano mimi simu walikuwa wamenipa lakin siku wakishinda home wanakaa nayo basi ikipigwa wanaona jina la kike wananita nipokee kumbe ni mvulana ndio anapiga so kukakugua haisaidii 100%..... Uhuru wa mtu unabakia pale pale .. bibadamu anaweza kujifanya mwema machoni pa Watu lakini akiwa sehemu ambayo hafahamiki anakuwa free... mtoto ukikagua simu yake unampa ujanja zaidi wa kuwa anazifuta kabla hajafika nyumbani....
Ana lengo zuri la kuhakikisha watoto wake hawatumii uhuru wa simu vibaya hata mimi walikuwa wanachunguza simu nilipokuwa 18's ikanibidi majina ya kiume nisave kwa majina ya kike iki wasistukie.
Mabinti ukiwachunga haimaanishi ndio unawampa malezi bora ila ni muhimu vilevile kuwe na mipaka.Ikumbukwe lazima atatafuta upenyo tu wakufanya yale anayoyataka ni jambo la muhimu sana kuwaamini watoto haswa kuanzia miaka 18 ni watu wazima hivyo anavyowalea ni kikoloni..Ndio wanaadamu tulivyo tunapowekewa vizuizi tunatafuta tactic za kuovercome hizo circumstances...Hata mimi nilikuwa nikichungwa sana lakini i always had my ways lol :smile-big::smile-big::smile-big:kwahio kitendo cha huyo baba kukagua simu ni useless kusema kweli kwa mtazamo wangu mimi!!
Niliwahigi once mama angu alinisema nikaona dunia chungu...sikurudia tena
ulikuwa binti msikivu na muelewa, lkn cjui kwa ss!
wanauwezo wa kufuta kila information unajua....txt msg ikiingia tu deleted,ikitumwa deleted sasa huo uchunguzi wako wa manufaa gani?cmu zimehifadhi siri nyingi sana! Unataka kunambia kuchunguza cmu za wanao n ukoloni? Na mwanao umlee kwa mipaka je huko kwenye mipaka ambako pengine ndo kuna matatizo utamuachia jilani yako? Jaribu kufikili upya!
he! inamaana ulinisave kwa jina la kike!!!
nikikushika utajuta.....!